Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 130
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Kutoka vilindini ninakulilia”

        • ‘Ikiwa ungekuwa unatazama makosa’ (3)

        • Msamaha wa kweli hutoka kwa Yehova (4)

        • “Ninamngojea Yehova kwa hamu” (6)

Zaburi 130:1

Marejeo

  • +Omb 3:55; Yon 2:1, 2

Zaburi 130:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “unafuatilia.”

  • *

    “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 38:4; 103:14; 143:1, 2; Isa 55:7; Da 9:18; Ro 3:20; Tit 3:5

Zaburi 130:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ili uogopwe.”

Marejeo

  • +Kut 34:6, 7; Zb 25:11
  • +Yer 33:8, 9

Zaburi 130:6

Marejeo

  • +Mik 7:7
  • +Zb 119:147

Zaburi 130:7

Marejeo

  • +Zb 86:5

Jumla

Zab. 130:1Omb 3:55; Yon 2:1, 2
Zab. 130:3Zb 38:4; 103:14; 143:1, 2; Isa 55:7; Da 9:18; Ro 3:20; Tit 3:5
Zab. 130:4Kut 34:6, 7; Zb 25:11
Zab. 130:4Yer 33:8, 9
Zab. 130:6Mik 7:7
Zab. 130:6Zb 119:147
Zab. 130:7Zb 86:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 130:1-8

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

130 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Yehova.+

 2 Ee Yehova, isikie sauti yangu.

Masikio yako na yasikilize sihi zangu za kuomba msaada.

 3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*

Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+

 4 Kwa maana wewe hutoa msamaha wa kweli,+

Ili watu wakuhofu.*+

 5 Ninamtumaini Yehova, nafsi yangu yote inamtumaini;

Ninangoja neno lake.

 6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+

Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+

Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.

 7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,

Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+

Naye ana nguvu nyingi za kukomboa.

 8 Atawakomboa watu wa Israeli kutoka katika makosa yao yote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki