Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 58
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kuna Mungu anayeihukumu dunia

        • Sala ya kuomba waovu waadhibiwe (6-8)

Zaburi 58:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 58:1

Marejeo

  • +2Nya 19:6
  • +Zb 82:2

Zaburi 58:2

Marejeo

  • +Mhu 3:16; Mik 3:9
  • +Mhu 5:8; Isa 10:1, 2

Zaburi 58:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wamepotoka.”

Zaburi 58:4

Marejeo

  • +Zb 140:3; Yak 3:8

Zaburi 58:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanasimba wenye manyoya marefu shingoni.”

Zaburi 58:9

Marejeo

  • +Met 10:25; Yer 23:19

Zaburi 58:10

Marejeo

  • +Zb 52:5, 6; 64:10; Eze 25:17; Ufu 18:20
  • +Met 21:18

Zaburi 58:11

Marejeo

  • +Isa 3:10
  • +Zb 9:16; 98:9

Jumla

Zab. 58:12Nya 19:6
Zab. 58:1Zb 82:2
Zab. 58:2Mhu 3:16; Mik 3:9
Zab. 58:2Mhu 5:8; Isa 10:1, 2
Zab. 58:4Zb 140:3; Yak 3:8
Zab. 58:9Met 10:25; Yer 23:19
Zab. 58:10Zb 52:5, 6; 64:10; Eze 25:17; Ufu 18:20
Zab. 58:10Met 21:18
Zab. 58:11Isa 3:10
Zab. 58:11Zb 9:16; 98:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 58:1-11

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Usiharibu.” Wa Daudi. Miktamu.*

58 Je, mnaweza kuzungumza kuhusu uadilifu wakati mmenyamaza?+

Je, mnaweza kuhukumu kwa unyoofu, enyi wanadamu?+

 2 Badala yake, mnatunga uovu moyoni mwenu,+

Na mikono yenu inatawanya ukatili nchini.+

 3 Waovu wanakengeuka* tangu kuzaliwa;

Ni wakaidi, waongo tangu wanapozaliwa.

 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka;+

Wao ni viziwi kama swila anayeziba sikio lake.

 5 Hataisikiliza sauti ya wanaomchezesha,

Hata wafanye uchawi kwa ustadi kadiri gani.

 6 Ee Mungu, yavunje meno yao vinywani mwao!

Yavunje mataya ya hawa simba,* Ee Yehova!

 7 Na watoweke kama maji yanayotiririka na kwenda zake.

Mungu na aukunje upinde wake na kuwaangusha kwa mishale yake.

 8 Na wawe kama konokono anayeyeyuka anapotembea;

Kama mtoto anayefia tumboni mwa mwanamke, mtoto asiyeona jua kamwe.

 9 Kabla vyungu vyenu vya kupikia havijapata moto wa kuni za mkwamba,

Atazifagilia mbali kuni zenye unyevu na zinazowaka moto, kama kwa kimbunga.+

10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+

Miguu yake italowa damu ya waovu.+

11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+

Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki