Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Mwanakondoo na wale 144,000 (1-5)

      • Ujumbe kutoka kwa malaika watatu (6-12)

        • Malaika katikati ya mbingu akiwa na habari njema (6, 7)

      • Wenye furaha ni wale wanaokufa katika muungano na Kristo (13)

      • Dunia yavunwa mara mbili (14-20)

Ufunuo 14:1

Marejeo

  • +Yoh 1:29; Ufu 5:6; 22:3
  • +Zb 2:6; Ebr 12:22; 1Pe 2:6
  • +Ufu 7:4
  • +Ufu 3:12

Ufunuo 14:3

Marejeo

  • +Zb 33:3; 98:1; 149:1; Ufu 5:9
  • +Ufu 4:6
  • +Ufu 4:4; 19:4
  • +Ufu 7:4

Ufunuo 14:4

Marejeo

  • +2Ko 11:2; Yak 1:27; 4:4
  • +1Pe 2:21
  • +1Ko 6:20; 7:23; Ufu 5:9
  • +Yak 1:18

Ufunuo 14:5

Marejeo

  • +Efe 5:25-27; Yud 24

Ufunuo 14:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katikati ya anga; juu.”

Marejeo

  • +Mt 24:14; Mk 13:10; Mdo 1:8

Ufunuo 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mabubujiko ya maji.”

Marejeo

  • +2Pe 2:9
  • +Kut 20:11; Zb 146:6

Ufunuo 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hasira.”

  • *

    Neno la Kigiriki, por·neiʹa. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ufu 17:18
  • +Isa 21:9; Ufu 18:21
  • +Yer 51:7, 8; Ufu 17:1, 2; 18:2, 3

Ufunuo 14:9

Marejeo

  • +Ufu 13:1
  • +Ufu 13:15, 16

Ufunuo 14:10

Marejeo

  • +Zb 75:8; Ufu 11:18; 16:19
  • +Ufu 21:8

Ufunuo 14:11

Marejeo

  • +Mt 25:46; 2Th 1:9; Ufu 19:3
  • +Ufu 13:16-18; 16:2; 20:4

Ufunuo 14:12

Marejeo

  • +Ufu 13:10
  • +Ebr 10:38

Ufunuo 14:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pamoja nao.”

Marejeo

  • +1Ko 15:51, 52; 1Th 4:16, 17

Ufunuo 14:14

Marejeo

  • +Da 7:13

Ufunuo 14:15

Marejeo

  • +Mt 13:30

Ufunuo 14:18

Marejeo

  • +Yoe 3:13

Ufunuo 14:19

Marejeo

  • +Ufu 19:11, 15

Ufunuo 14:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu kilomita 296 (maili 184). Stadiamu moja ilikuwa sawa na mita 185 (futi 606.95). Angalia Nyongeza B14.

Jumla

Ufu. 14:1Yoh 1:29; Ufu 5:6; 22:3
Ufu. 14:1Zb 2:6; Ebr 12:22; 1Pe 2:6
Ufu. 14:1Ufu 7:4
Ufu. 14:1Ufu 3:12
Ufu. 14:3Zb 33:3; 98:1; 149:1; Ufu 5:9
Ufu. 14:3Ufu 4:6
Ufu. 14:3Ufu 4:4; 19:4
Ufu. 14:3Ufu 7:4
Ufu. 14:42Ko 11:2; Yak 1:27; 4:4
Ufu. 14:41Pe 2:21
Ufu. 14:41Ko 6:20; 7:23; Ufu 5:9
Ufu. 14:4Yak 1:18
Ufu. 14:5Efe 5:25-27; Yud 24
Ufu. 14:6Mt 24:14; Mk 13:10; Mdo 1:8
Ufu. 14:72Pe 2:9
Ufu. 14:7Kut 20:11; Zb 146:6
Ufu. 14:8Ufu 17:18
Ufu. 14:8Isa 21:9; Ufu 18:21
Ufu. 14:8Yer 51:7, 8; Ufu 17:1, 2; 18:2, 3
Ufu. 14:9Ufu 13:1
Ufu. 14:9Ufu 13:15, 16
Ufu. 14:10Zb 75:8; Ufu 11:18; 16:19
Ufu. 14:10Ufu 21:8
Ufu. 14:11Mt 25:46; 2Th 1:9; Ufu 19:3
Ufu. 14:11Ufu 13:16-18; 16:2; 20:4
Ufu. 14:12Ufu 13:10
Ufu. 14:12Ebr 10:38
Ufu. 14:131Ko 15:51, 52; 1Th 4:16, 17
Ufu. 14:14Da 7:13
Ufu. 14:15Mt 13:30
Ufu. 14:18Yoe 3:13
Ufu. 14:19Ufu 19:11, 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 14:1-20

Ufunuo kwa Yohana

14 Kisha nikaona, na tazama! Mwanakondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ walioandikwa jina lake na jina la Baba yake+ kwenye mapaji ya nyuso zao. 2 Nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa; na sauti niliyosikia ilikuwa kama ya waimbaji wanaofuatanisha sauti zao wakipiga vinubi vyao. 3 Nao wanaimba kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee,+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa kutoka duniani. 4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake; kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wanaoendelea kumfuata Mwanakondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwanakondoo, 5 na hamna udanganyifu uliopatikana katika vinywa vyao; wao hawana dosari.+

6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,* naye alikuwa na habari njema ya milele ili aitangaze kwa wale wanaokaa duniani, kwa kila taifa na kabila na lugha na watu.+ 7 Alikuwa akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu na kumpa utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mwabuduni Yule aliyeziumba mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*

8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+

9 Malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama wa mwituni+ na sanamu yake na kupokea alama kwenye paji la uso wake au kwenye mkono wake,+ 10 yeye pia atakunywa divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa ndani ya kikombe cha ghadhabu Yake bila kuchanganywa na kitu,+ naye atateswa kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwanakondoo. 11 Na moshi wa kuteswa kwao unapanda milele na milele,+ nao hawana pumziko mchana na usiku, wale wanaomwabudu yule mnyama wa mwituni na sanamu yake na yeyote anayepokea alama ya jina lake.+ 12 Hapa ndipo watakatifu wanapohitaji uvumilivu,+ wale wanaoshika amri za Mungu na kushika imara imani+ kwa Yesu.”

13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wenye furaha ni wafu wanaokufa katika muungano na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea. Ndiyo, roho inasema, acheni wapumzike kutokana na kazi yao ngumu, kwa maana mambo waliyotenda yanaambatana nao moja kwa moja.”*

14 Kisha nikaona, na tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu alikuwa ameketi juu ya wingu hilo,+ akiwa na taji la dhahabu juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.

15 Malaika mwingine akatokea katika patakatifu pa hekalu, akimwambia kwa sauti kubwa yule aliyeketi juu ya lile wingu: “Tia ndani mundu wako uvune, kwa sababu saa ya kuvuna imefika, kwa maana mavuno ya dunia yameiva kabisa.”+ 16 Na yule aliyeketi juu ya wingu akautia mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.

17 Na bado malaika mwingine akatokea katika patakatifu pa hekalu palipo mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.

18 Na bado malaika mwingine akatokea katika madhabahu naye alikuwa na mamlaka juu ya moto. Naye akamwambia kwa sauti kubwa yule aliyekuwa na mundu mkali: “Tia ndani mundu wako mkali ukusanye vishada vya mzabibu wa dunia, kwa sababu zabibu zake zimeiva.”+ 19 Yule malaika akatia mundu wake katika dunia na kuukusanya mzabibu wa dunia, naye akautupa ndani ya shinikizo kubwa la divai la hasira ya Mungu.+ 20 Lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji, na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi umbali wa stadia 1,600.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki