Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Ole kwa Arieli! (1-16)

        • Ibada ya midomo tu yashutumiwa (13)

      • Viziwi watasikia; na vipofu wataona (17-24)

Isaya 29:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Huenda jina hili linamaanisha “Jiko la Madhabahu ya Mungu,” inaelekea ni Yerusalemu.

Marejeo

  • +2Sa 5:7, 9
  • +Kum 16:16

Isaya 29:2

Marejeo

  • +Kum 28:53-55
  • +Isa 51:19; Omb 1:4
  • +Yer 15:14; Sef 1:7

Isaya 29:3

Marejeo

  • +2Fa 24:11; 25:1

Isaya 29:4

Marejeo

  • +Isa 51:23

Isaya 29:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wageni wako.”

Marejeo

  • +Isa 13:19; 14:22; 21:9
  • +Isa 13:11; 17:13
  • +Isa 47:9; 48:3

Isaya 29:6

Marejeo

  • +1Sa 2:10; Yer 50:25; Nah 1:3

Isaya 29:7

Marejeo

  • +Yer 25:12, 14

Isaya 29:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake ikiwa tupu.”

  • *

    Au “nafsi yake ikiwa imekauka.”

Marejeo

  • +Isa 10:12; Yer 51:24

Isaya 29:9

Marejeo

  • +Hab 1:5
  • +Isa 6:9

Isaya 29:10

Marejeo

  • +Isa 6:10; Ro 11:8
  • +Yer 14:14; 27:15
  • +Mik 3:7

Isaya 29:11

Marejeo

  • +Isa 8:16

Isaya 29:13

Marejeo

  • +Isa 48:1; Yer 5:2
  • +Mt 15:7-9; Mk 7:6-8

Isaya 29:14

Marejeo

  • +Isa 28:21; Hab 1:5
  • +Yer 8:9; 1Ko 1:19

Isaya 29:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “shauri lao.”

Marejeo

  • +Isa 30:1
  • +Eze 8:12

Isaya 29:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Jinsi mlivyopotoka!”

Marejeo

  • +Isa 64:8
  • +Yer 18:6
  • +Ro 9:20, 21

Isaya 29:17

Marejeo

  • +Isa 35:1; 41:19
  • +Isa 32:14, 15

Isaya 29:18

Marejeo

  • +Isa 35:5; 42:16

Isaya 29:19

Marejeo

  • +Isa 41:16

Isaya 29:20

Marejeo

  • +Mik 2:1

Isaya 29:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayekaripia.”

Marejeo

  • +Amo 5:10
  • +Eze 13:19

Isaya 29:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kwa sababu ya aibu na kukata tamaa.

Marejeo

  • +Ne 9:7; Mik 7:20
  • +Yoe 2:27

Isaya 29:23

Marejeo

  • +Isa 45:11
  • +Isa 8:13; Ho. 3:5

Jumla

Isa. 29:12Sa 5:7, 9
Isa. 29:1Kum 16:16
Isa. 29:2Kum 28:53-55
Isa. 29:2Isa 51:19; Omb 1:4
Isa. 29:2Yer 15:14; Sef 1:7
Isa. 29:32Fa 24:11; 25:1
Isa. 29:4Isa 51:23
Isa. 29:5Isa 13:19; 14:22; 21:9
Isa. 29:5Isa 13:11; 17:13
Isa. 29:5Isa 47:9; 48:3
Isa. 29:61Sa 2:10; Yer 50:25; Nah 1:3
Isa. 29:7Yer 25:12, 14
Isa. 29:8Isa 10:12; Yer 51:24
Isa. 29:9Hab 1:5
Isa. 29:9Isa 6:9
Isa. 29:10Isa 6:10; Ro 11:8
Isa. 29:10Yer 14:14; 27:15
Isa. 29:10Mik 3:7
Isa. 29:11Isa 8:16
Isa. 29:13Isa 48:1; Yer 5:2
Isa. 29:13Mt 15:7-9; Mk 7:6-8
Isa. 29:14Isa 28:21; Hab 1:5
Isa. 29:14Yer 8:9; 1Ko 1:19
Isa. 29:15Isa 30:1
Isa. 29:15Eze 8:12
Isa. 29:16Isa 64:8
Isa. 29:16Yer 18:6
Isa. 29:16Ro 9:20, 21
Isa. 29:17Isa 35:1; 41:19
Isa. 29:17Isa 32:14, 15
Isa. 29:18Isa 35:5; 42:16
Isa. 29:19Isa 41:16
Isa. 29:20Mik 2:1
Isa. 29:21Amo 5:10
Isa. 29:21Eze 13:19
Isa. 29:22Ne 9:7; Mik 7:20
Isa. 29:22Yoe 2:27
Isa. 29:23Isa 45:11
Isa. 29:23Isa 8:13; Ho. 3:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 29:1-24

Isaya

29 “Ole kwa Arieli,* Arieli, jiji ambalo Daudi alipiga kambi ndani yake!+

Endelea mwaka baada ya mwaka;

Mzunguko wa sherehe+ na uendelee.

 2 Lakini nitaliletea taabu Arieli,+

Na kutakuwa na kilio na maombolezo,+

Nalo litakuwa kwangu kama jiko la madhabahu ya Mungu.+

 3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako,

Nami nitakuzingira kwa ngome

Na kujenga maboma dhidi yako.+

 4 Utashushwa chini;

Utazungumza kutoka ardhini,

Na mambo utakayosema yatakuwa mnong’ono kwa sababu ya mavumbi.

Sauti yako itatoka ardhini+

Kama sauti ya mtu anayewasiliana na roho,

Na maneno yako yatatoka mavumbini kama sauti ya ndege.

 5 Umati wa maadui wako* utakuwa kama ungaunga laini,+

Umati wa waonevu kama tu makapi yanayopeperuka.+

Na jambo hilo litatokea haraka, ghafla.+

 6 Yehova wa majeshi atawakazia fikira

Kwa mngurumo na tetemeko la ardhi na kelele kubwa,

Kwa upepo wa dhoruba na tufani na miali ya moto unaoteketeza.”+

 7 Kisha umati wa mataifa yote yanayopigana vita na Arieli+

—Wale wote wanaopigana vita naye,

Minara inayomzingira,

Na wale wanaomsababishia taabu—

Watakuwa kama ndoto, maono ya usiku.

 8 Naam, itakuwa kama mtu aliye na njaa anayeota kwamba anakula,

Lakini anaamka akiwa na njaa,*

Na kama mtu mwenye kiu anayeota kwamba anakunywa,

Lakini anaamka akiwa amechoka na akiwa na kiu.*

Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa umati wa mataifa yote

Yanayopigana vita dhidi ya Mlima Sayuni.+

 9 Pigweni na butwaa na mshangae;+

Jipofusheni na mpofushwe.+

Wamelewa, lakini si kwa divai;

Wanapepesuka, lakini si kwa sababu ya kileo.

10 Kwa maana Yehova amewamwagia roho ya usingizi mzito;+

Ameyafunga macho yenu, enyi manabii,+

Naye amefunika vichwa vyenu, enyi waonaji.+

11 Maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya kitabu ambacho kimefungwa kwa muhuri.+ Wakimpa mtu anayejua kusoma na kumwambia: “Tafadhali, kisome kwa sauti,” atasema: “Siwezi, kwa maana kimefungwa kwa muhuri.” 12 Na wakimpa kitabu hicho mtu asiyejua kusoma na kumwambia: “Tafadhali, kisome kitabu hiki,” atasema: “Sijui kusoma hata kidogo.”

13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

Nao huniheshimu kwa midomo yao,+

Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;

Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+

14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+

Maajabu juu ya maajabu;

Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,

Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+

15 Ole wao wanaojitahidi sana kumficha Yehova mipango yao.*+

Wanatenda matendo yao mahali penye giza,

Huku wakisema: “Ni nani anayetuona?

Ni nani anayejua kutuhusu?”+

16 Jinsi mnavyopotosha mambo!*

Je, mfinyanzi anapaswa kuonwa kuwa sawa na udongo?+

Je, kitu kilichotengenezwa kinapaswa kusema kuhusu yule aliyekitengeneza:

“Hakunitengeneza?”+

Na je, kitu kilichotengenezwa kinasema kuhusu yule aliyekitengeneza:

“Hana uelewaji”?+

17 Katika muda mfupi, Lebanoni itageuzwa kuwa shamba la matunda,+

Na shamba hilo la matunda litaonwa kuwa msitu.+

18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kile kitabu,

Na kutoka katika utusitusi na giza macho ya vipofu yataona.+

19 Wapole watashangilia sana katika Yehova,

Na maskini miongoni mwa watu watashangilia katika Mtakatifu wa Israeli.+

20 Kwa maana mwonevu hatakuwapo tena,

Anayejigamba ataangamia,

Na wote wanaokaa macho ili kusababisha madhara wataangamizwa,+

21 Wale ambao kwa neno la udanganyifu wanawafanya wengine wawe na hatia,

Wanaotega mitego ili kumnasa mtetezi* katika lango la jiji,+

Na wale ambao kwa mashtaka yasiyo na msingi humnyima haki mwadilifu.+

22 Basi Yehova, aliyemkomboa Abrahamu,+ anaiambia hivi nyumba ya Yakobo:

“Yakobo hataona aibu tena,

Na uso wake hautabadilika rangi tena.*+

23 Kwa maana anapowaona watoto wake,

Ambao ni kazi ya mikono yake, katikati yake,+

Watalitakasa jina langu;

Naam, watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,

Nao watamwogopa Mungu wa Israeli.+

24 Wale waliopotoka rohoni watapata uelewaji,

Na wale wanaolalamika watakubali mafundisho.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki