Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 61
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Atiwa mafuta ili kutangaza habari njema (1-11)

        • “Mwaka wa nia njema ya Yehova” (2)

        • “Miti mikubwa ya uadilifu” (3)

        • Watu wa nchi nyingine watasaidia (5)

        • “Makuhani wa Yehova” (6)

Isaya 61:1

Marejeo

  • +Isa 42:1; Mt 3:16
  • +Mt 11:4, 5; Mdo 10:37, 38
  • +Lu 4:17-21; 7:22; Mdo 26:17, 18

Isaya 61:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kibali cha.”

Marejeo

  • +Isa 34:8
  • +Isa 25:8; Mt 5:4; Lu 6:21

Isaya 61:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumrembesha.”

Marejeo

  • +Isa 60:21

Isaya 61:4

Marejeo

  • +Isa 49:8; 51:3
  • +Isa 44:26; 58:12
  • +Eze 36:33, 34

Isaya 61:5

Marejeo

  • +Isa 60:10
  • +Isa 14:1, 2

Isaya 61:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utajiri.”

Marejeo

  • +Kut 19:6
  • +Isa 23:17, 18; 60:5, 7

Isaya 61:7

Marejeo

  • +Zek 9:12
  • +Isa 35:10

Isaya 61:8

Marejeo

  • +Kum 32:4; Zb 33:5; 37:28
  • +Met 6:16-19
  • +Isa 55:3; Yer 32:40

Isaya 61:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbegu yao itajulikana.”

  • *

    Tnn., “mbegu ambayo.”

Marejeo

  • +Zek 8:13
  • +Isa 65:23

Isaya 61:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “joho lisilo na mikono.”

Marejeo

  • +Isa 65:13
  • +Isa 52:1; Ufu 21:2
  • +Kut 28:39, 41

Isaya 61:11

Marejeo

  • +Isa 45:8; 62:1
  • +Isa 58:11; 60:18; 62:7

Jumla

Isa. 61:1Isa 42:1; Mt 3:16
Isa. 61:1Mt 11:4, 5; Mdo 10:37, 38
Isa. 61:1Lu 4:17-21; 7:22; Mdo 26:17, 18
Isa. 61:2Isa 34:8
Isa. 61:2Isa 25:8; Mt 5:4; Lu 6:21
Isa. 61:3Isa 60:21
Isa. 61:4Isa 49:8; 51:3
Isa. 61:4Isa 44:26; 58:12
Isa. 61:4Eze 36:33, 34
Isa. 61:5Isa 60:10
Isa. 61:5Isa 14:1, 2
Isa. 61:6Kut 19:6
Isa. 61:6Isa 23:17, 18; 60:5, 7
Isa. 61:7Zek 9:12
Isa. 61:7Isa 35:10
Isa. 61:8Kum 32:4; Zb 33:5; 37:28
Isa. 61:8Met 6:16-19
Isa. 61:8Isa 55:3; Yer 32:40
Isa. 61:9Zek 8:13
Isa. 61:9Isa 65:23
Isa. 61:10Isa 65:13
Isa. 61:10Isa 52:1; Ufu 21:2
Isa. 61:10Kut 28:39, 41
Isa. 61:11Isa 45:8; 62:1
Isa. 61:11Isa 58:11; 60:18; 62:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 61:1-11

Isaya

61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+

Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+

Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,

Kuwatangazia mateka uhuru

Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+

 2 Kutangaza mwaka wa nia njema ya* Yehova

Na siku ya kisasi ya Mungu wetu,+

Kuwafariji wote wanaoomboleza,+

 3 Kuwaandalia mahitaji wale wanaoombolezea Sayuni,

Kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,

Mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

Vazi la sifa badala ya roho iliyovunjika.

Nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,

Bustani ya Yehova, ili kumtukuza.*+

 4 Watajenga upya magofu ya kale;

Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+

Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+

Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+

 5 “Wageni watakuja na kuichunga mifugo yenu,

Nao watu wa nchi nyingine+ watakuwa wakulima wenu na watunzaji wa mizabibu yenu.+

 6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+

Watawaita wahudumu wa Mungu wetu.

Mtakula mali za mataifa,+

Nanyi mtajivunia utukufu* wao.

 7 Badala ya aibu mtakuwa na fungu mara mbili,

Na badala ya fedheha watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya fungu lao.

Naam, watamiliki fungu mara mbili katika nchi yao.+

Watakuwa na shangwe milele.+

 8 Kwa maana mimi, Yehova, ninapenda haki;+

Ninachukia unyang’anyi na ukosefu wa uadilifu.+

Nitawapa malipo yao kwa uaminifu,

Nami nitafanya agano la milele pamoja nao.+

 9 Uzao wao utajulikana* miongoni mwa mataifa+

Na wazao wao miongoni mwa watu.

Wote wanaowaona watawatambua,

Kwamba wao ni uzao ambao* Yehova amebariki.”+

10 Nitashangilia sana katika Yehova.

Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+

Kwa maana amenivisha mavazi ya wokovu;+

Amenifunika kwa joho* la uadilifu,

Kama bwana harusi anayevaa kilemba kama cha kuhani,+

Na kama bibi harusi anayejipamba kwa mapambo yake.

11 Kwa maana kama dunia inavyochipusha mimea

Na kama bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa humo,

Ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova

Atakavyofanya uadilifu+ na sifa zichipuke+ mbele ya mataifa yote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki