Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 59
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu ni ngao na kimbilio

        • “Usiwaonyeshe rehema wasaliti” (5)

        • “Nitaimba kuhusu nguvu zako” (16)

Zaburi 59:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Tnn., “waichunguze ile nyumba.”

Marejeo

  • +1Sa 19:11

Zaburi 59:1

Marejeo

  • +1Sa 19:12; Zb 18:48; 71:4
  • +Zb 12:5; 91:14

Zaburi 59:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye kiu ya damu.”

Zaburi 59:3

Marejeo

  • +1Sa 19:1; Zb 10:9; 71:10
  • +1Sa 24:11; 26:18; Zb 69:4

Zaburi 59:5

Marejeo

  • +Kum 33:29
  • +Met 2:22

Zaburi 59:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wananguruma.”

Marejeo

  • +1Sa 19:11
  • +Zb 22:16
  • +Zb 59:14

Zaburi 59:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kinachobubujika.”

Marejeo

  • +Zb 57:4; 64:3
  • +Zb 10:4, 11; 73:3, 11

Zaburi 59:8

Marejeo

  • +Zb 37:12, 13
  • +Zb 33:10

Zaburi 59:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele changu salama.”

Marejeo

  • +Zb 27:1; 46:1
  • +Zb 9:9; 62:2

Zaburi 59:10

Marejeo

  • +Zb 6:4
  • +Zb 54:7

Zaburi 59:11

Marejeo

  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3

Zaburi 59:12

Marejeo

  • +Zb 64:8; Met 12:13; 16:18

Zaburi 59:13

Marejeo

  • +Zb 7:9
  • +1Sa 17:46; Zb 9:16; 83:17, 18

Zaburi 59:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wangurume.”

Marejeo

  • +Zb 59:6

Zaburi 59:15

Marejeo

  • +Zb 109:2, 10

Zaburi 59:16

Marejeo

  • +Ayu 37:23; Zb 21:13; 145:10-12
  • +1Sa 17:37; Zb 61:3
  • +Met 18:10

Zaburi 59:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitakupigia muziki.”

Marejeo

  • +Isa 12:2
  • +Zb 59:10

Jumla

Zab. 59:utangulizi1Sa 19:11
Zab. 59:11Sa 19:12; Zb 18:48; 71:4
Zab. 59:1Zb 12:5; 91:14
Zab. 59:31Sa 19:1; Zb 10:9; 71:10
Zab. 59:31Sa 24:11; 26:18; Zb 69:4
Zab. 59:5Kum 33:29
Zab. 59:5Met 2:22
Zab. 59:61Sa 19:11
Zab. 59:6Zb 22:16
Zab. 59:6Zb 59:14
Zab. 59:7Zb 57:4; 64:3
Zab. 59:7Zb 10:4, 11; 73:3, 11
Zab. 59:8Zb 37:12, 13
Zab. 59:8Zb 33:10
Zab. 59:9Zb 27:1; 46:1
Zab. 59:9Zb 9:9; 62:2
Zab. 59:10Zb 6:4
Zab. 59:10Zb 54:7
Zab. 59:11Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3
Zab. 59:12Zb 64:8; Met 12:13; 16:18
Zab. 59:13Zb 7:9
Zab. 59:131Sa 17:46; Zb 9:16; 83:17, 18
Zab. 59:14Zb 59:6
Zab. 59:15Zb 109:2, 10
Zab. 59:16Ayu 37:23; Zb 21:13; 145:10-12
Zab. 59:161Sa 17:37; Zb 61:3
Zab. 59:16Met 18:10
Zab. 59:17Isa 12:2
Zab. 59:17Zb 59:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 59:1-17

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Usiharibu.” Wa Daudi. Miktamu.* Sauli alipowatuma watu waichunguze nyumba ya Daudi* ili wamuue.+

59 Niokoe kutoka kwa maadui wangu, Ee Mungu wangu;+

Nilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+

 2 Niokoe kutoka kwa wale wanaotenda uovu,

Na uniokoe kutoka kwa watu wakatili.*

 3 Tazama! Wananivizia;+

Wanaume wenye nguvu wananishambulia

Lakini si kwa sababu nimeasi au kutenda dhambi,+ Ee Yehova.

 4 Ingawa sikutenda kosa lolote, wanakimbia na kujitayarisha kunishambulia.

Inuka ninapokuita, uone.

 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ni Mungu wa Israeli.+

Amka uyakazie uangalifu mataifa yote.

Usiwaonyeshe rehema wasaliti wowote wenye nia ya kudhuru.+ (Sela)

 6 Wanarudi kila jioni;+

Wanabweka* kama mbwa+ na kuzungukazunguka jijini.+

 7 Tazama kinachomwagika* kutoka katika kinywa chao;

Midomo yao ni kama panga,+

Kwa maana wanauliza: “Ni nani anayesikiliza?”+

 8 Lakini wewe, Ee Yehova, utawacheka;+

Utayadhihaki mataifa yote.+

 9 Ee Nguvu zangu, nitaendelea kukutarajia;+

Kwa maana Mungu ni kimbilio langu salama.*+

10 Mungu anayenitendea kwa upendo mshikamanifu atanisaidia;+

Mungu ataniwezesha niwatazame maadui wangu wakishindwa.+

11 Usiwaue, ili watu wangu wasisahau.

Kwa nguvu zako wafanye watangetange;

Waangushe, Ee Yehova, ngao yetu.+

12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao,

Kiburi chao na kiwanase,+

Kwa sababu ya matusi na udanganyifu wanaosema.

13 Waangamize kwa hasira yako kali;+

Waangamize kabisa, ili wasiwepo tena;

Wafanye wajue kwamba Mungu anatawala katika Yakobo na mpaka kwenye miisho ya dunia.+ (Sela)

14 Acha warudi jioni;

Acha wabweke* kama mbwa na kuzungukazunguka jijini.+

15 Acha watangetange wakitafuta chakula;+

Usiwaruhusu washibe au kupata makao.

16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+

Asubuhi nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mshikamanifu.

Kwa maana wewe ni kimbilio langu salama+

Na mahali pangu pa kukimbilia wakati wa taabu.+

17 Ee Nguvu zangu, nitakuimbia sifa,*+

Kwa maana wewe Mungu ni kimbilio langu salama, Mungu unayenitendea kwa upendo mshikamanifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki