Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 63
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumtamani Mungu

        • “Upendo wako mshikamanifu ni bora kuliko uhai” (3)

        • “Nimeridhika na fungu bora” (5)

        • Kutafakari kumhusu Mungu wakati wa usiku (6)

        • ‘Ninashikamana na Mungu’ (8)

Zaburi 63:utangulizi

Marejeo

  • +1Sa 23:14

Zaburi 63:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mwili wangu unazimia.”

Marejeo

  • +Isa 26:9
  • +Zb 42:2
  • +Zb 63:utangulizi; 143:6

Zaburi 63:2

Marejeo

  • +1Nya 16:28; Zb 96:6

Zaburi 63:3

Marejeo

  • +Zb 30:5; 100:5
  • +Zb 66:16, 17

Zaburi 63:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nimeridhika kana kwamba nina mafuta na nimejaa mafuta.”

Marejeo

  • +Zb 71:23; 135:3

Zaburi 63:6

Marejeo

  • +Zb 119:55, 148

Zaburi 63:7

Marejeo

  • +1Sa 17:37
  • +Zb 5:11; 57:1; 61:4

Zaburi 63:8

Marejeo

  • +Isa 41:10

Zaburi 63:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiangamiza nafsi yangu.”

Zaburi 63:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mbweha.”

Zaburi 63:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atajigamba.”

Jumla

Zab. 63:utangulizi1Sa 23:14
Zab. 63:1Isa 26:9
Zab. 63:1Zb 42:2
Zab. 63:1Zb 63:utangulizi; 143:6
Zab. 63:21Nya 16:28; Zb 96:6
Zab. 63:3Zb 30:5; 100:5
Zab. 63:3Zb 66:16, 17
Zab. 63:5Zb 71:23; 135:3
Zab. 63:6Zb 119:55, 148
Zab. 63:71Sa 17:37
Zab. 63:7Zb 5:11; 57:1; 61:4
Zab. 63:8Isa 41:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 63:1-11

Zaburi

Muziki wa Daudi, alipokuwa katika nyika ya Yuda.+

63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+

Nina kiu kwa ajili yako.+

Ninazimia* kwa sababu ninakutamani

Katika nchi kame iliyokauka, ambayo haina maji.+

 2 Kwa hiyo nimekutazama mahali patakatifu;

Nimeziona nguvu zako na utukufu wako.+

 3 Kwa sababu upendo wako mshikamanifu ni bora kuliko uhai,+

Midomo yangu mwenyewe itakutukuza.+

 4 Basi nitakusifu maisha yangu yote;

Katika jina lako nitaiinua mikono yangu.

 5 Nimeridhika na fungu bora ambalo ni zuri kabisa,*

Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+

 6 Ninakukumbuka wewe nikiwa kitandani mwangu;

Ninatafakari kukuhusu katika makesha ya usiku.+

 7 Kwa maana wewe ni msaidizi wangu,+

Nami ninapaza sauti kwa shangwe katika kivuli cha mabawa yako.+

 8 Ninashikamana nawe;

Mkono wako wa kuume hunishika kwa nguvu.+

 9 Lakini wale wanaotaka kuniua*

Watashuka katika sehemu zenye kina zaidi za dunia.

10 Watatiwa katika nguvu za upanga;

Watakuwa chakula cha mbwamwitu.*

11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu.

Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*

Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki