Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sayuni, jiji la Mfalme Mtukufu

        • Shangwe ya dunia yote (2)

        • Likagueni jiji na minara yake (11-13)

Zaburi 48:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 48:2

Marejeo

  • +Omb 2:15
  • +Zb 47:8; 135:21; Mt 5:34, 35

Zaburi 48:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele salama.”

Marejeo

  • +Zb 125:1

Zaburi 48:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wamekutana kama walivyokubaliana.”

Zaburi 48:8

Marejeo

  • +Zb 87:5; Isa 2:2; Mik 4:1

Zaburi 48:9

Marejeo

  • +Zb 26:3; 40:10; 63:3

Zaburi 48:10

Marejeo

  • +Zb 113:3
  • +Zb 17:7; 60:5; 98:2

Zaburi 48:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mabinti wa Yuda na washangilie.”

Marejeo

  • +Zb 78:68
  • +Zb 97:8

Zaburi 48:12

Marejeo

  • +Ne 12:38, 39

Zaburi 48:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuta zake zenye ngome.”

Marejeo

  • +Isa 26:1

Zaburi 48:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mpaka tufe.”

Marejeo

  • +Zb 31:14
  • +Isa 58:11

Jumla

Zab. 48:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 48:2Omb 2:15
Zab. 48:2Zb 47:8; 135:21; Mt 5:34, 35
Zab. 48:3Zb 125:1
Zab. 48:8Zb 87:5; Isa 2:2; Mik 4:1
Zab. 48:9Zb 26:3; 40:10; 63:3
Zab. 48:10Zb 113:3
Zab. 48:10Zb 17:7; 60:5; 98:2
Zab. 48:11Zb 78:68
Zab. 48:11Zb 97:8
Zab. 48:12Ne 12:38, 39
Zab. 48:13Isa 26:1
Zab. 48:14Zb 31:14
Zab. 48:14Isa 58:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 48:1-14

Zaburi

Wimbo. Muziki wa wana wa Kora.+

48 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa

Katika jiji la Mungu wetu, katika mlima wake mtakatifu.

 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+

Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,

Jiji la Mfalme Mkuu.+

 3 Katika minara yake yenye ngome,

Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+

 4 Kwa maana tazama! wafalme wamekusanyika;*

Wamesonga mbele pamoja.

 5 Walipoliona, walishangaa.

Wakashikwa na wasiwasi na kukimbia kwa hofu.

 6 Wakaanza kutetemeka wakiwa huko,

Wakashikwa na uchungu kama wa mwanamke anayezaa.

 7 Kwa upepo wa mashariki unavunjavunja meli za Tarshishi.

 8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyewe

Katika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu.

Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela)

 9 Tunautafakari upendo wako mshikamanifu, Ee Mungu,+

Katika hekalu lako.

10 Kama jina lako, Ee Mungu, sifa yako

Hufika mpaka kwenye miisho ya dunia.+

Mkono wako wa kuume umejaa uadilifu.+

11 Mlima Sayuni+ na ushangilie,

Miji ya Yuda na ishangilie,* kwa sababu ya hukumu zako.+

12 Pigeni mwendo kuzunguka Sayuni; lizungukeni pande zote;

Hesabuni minara yake.+

13 Wekeni mioyo yenu juu ya maboma yake.*+

Kagueni minara yake yenye ngome,

Ili msimulie vizazi vijavyo kulihusu.

14 Kwa maana Mungu huyu ni Mungu wetu+ milele na milele.

Yeye mwenyewe atatuongoza kwa umilele wote.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki