Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kushukuru kwa sababu ya ushindi wa Yehova

        • ‘Nilimlilia Yah, naye akanijibu’ (5)

        • “Yehova yuko upande wangu” (6, 7)

        • Jiwe lililokataliwa litakuwa jiwe kuu la pembeni (22)

        • “Yule anayekuja katika jina la Yehova” (26)

Zaburi 118:1

Marejeo

  • +Mt 19:17

Zaburi 118:5

Maelezo ya Chini

  • *

    “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

  • *

    Au “mahali penye nafasi kubwa.”

Marejeo

  • +Zb 18:19

Zaburi 118:6

Marejeo

  • +Zb 27:1
  • +Isa 51:12; Ro 8:31; Ebr 13:6

Zaburi 118:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “pamoja na wale wanaonisaidia.”

Marejeo

  • +Mt 26:52, 53
  • +Zb 54:7

Zaburi 118:8

Marejeo

  • +Zb 40:4; 146:3, 4; Yer 17:5

Zaburi 118:9

Marejeo

  • +Eze 29:6, 7

Zaburi 118:10

Marejeo

  • +2Nya 20:15, 17

Zaburi 118:12

Marejeo

  • +2Nya 14:11

Zaburi 118:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Ulinisukuma kwa nguvu.”

Zaburi 118:14

Marejeo

  • +Kut 15:2; Zb 18:2; Isa 12:2

Zaburi 118:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ushindi.”

Marejeo

  • +Zb 89:13; Isa 63:12

Zaburi 118:16

Marejeo

  • +Kut 15:6; Isa 40:26

Zaburi 118:17

Marejeo

  • +Zb 6:5; 71:17

Zaburi 118:18

Marejeo

  • +Zb 66:10; 94:12
  • +Zb 16:10

Zaburi 118:19

Marejeo

  • +Isa 26:2; Ufu 22:14

Zaburi 118:20

Marejeo

  • +Zb 24:3, 4

Zaburi 118:21

Marejeo

  • +Zb 116:1

Zaburi 118:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa cha pembeni.”

Marejeo

  • +Isa 28:16; Lu 20:17; Mdo 4:11; 1Ko 3:11; Efe 2:19, 20; 1Pe 2:4-7

Zaburi 118:23

Marejeo

  • +Mdo 5:31
  • +Mk 12:10, 11

Zaburi 118:26

Marejeo

  • +Mt 21:7-9; 23:39; Mk 11:7-10; Lu 19:37, 38

Zaburi 118:27

Marejeo

  • +Zb 18:28; 1Pe 2:9
  • +Law 23:34; Zb 42:4
  • +Kut 27:2

Zaburi 118:28

Marejeo

  • +Kut 15:2; Isa 25:1

Zaburi 118:29

Marejeo

  • +Zb 50:23
  • +Ezr 3:11; Zb 118:1

Jumla

Zab. 118:1Mt 19:17
Zab. 118:5Zb 18:19
Zab. 118:6Zb 27:1
Zab. 118:6Isa 51:12; Ro 8:31; Ebr 13:6
Zab. 118:7Mt 26:52, 53
Zab. 118:7Zb 54:7
Zab. 118:8Zb 40:4; 146:3, 4; Yer 17:5
Zab. 118:9Eze 29:6, 7
Zab. 118:102Nya 20:15, 17
Zab. 118:122Nya 14:11
Zab. 118:14Kut 15:2; Zb 18:2; Isa 12:2
Zab. 118:15Zb 89:13; Isa 63:12
Zab. 118:16Kut 15:6; Isa 40:26
Zab. 118:17Zb 6:5; 71:17
Zab. 118:18Zb 66:10; 94:12
Zab. 118:18Zb 16:10
Zab. 118:19Isa 26:2; Ufu 22:14
Zab. 118:20Zb 24:3, 4
Zab. 118:21Zb 116:1
Zab. 118:22Isa 28:16; Lu 20:17; Mdo 4:11; 1Ko 3:11; Efe 2:19, 20; 1Pe 2:4-7
Zab. 118:23Mdo 5:31
Zab. 118:23Mk 12:10, 11
Zab. 118:26Mt 21:7-9; 23:39; Mk 11:7-10; Lu 19:37, 38
Zab. 118:27Zb 18:28; 1Pe 2:9
Zab. 118:27Law 23:34; Zb 42:4
Zab. 118:27Kut 27:2
Zab. 118:28Kut 15:2; Isa 25:1
Zab. 118:29Zb 50:23
Zab. 118:29Ezr 3:11; Zb 118:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 118:1-29

Zaburi

118 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

 2 Watu wa Israeli na waseme sasa:

“Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”

 3 Watu wa nyumba ya Haruni na waseme sasa:

“Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”

 4 Wale wanaomwogopa Yehova na waseme sasa:

“Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”

 5 Nilimlilia Yah* nilipokuwa nikitaabika;

Yah akanijibu na kunipeleka mahali salama.*+

 6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa.+

Mwanadamu atanifanya nini?+

 7 Yehova yuko upande wangu akiwa msaidizi wangu;*+

Wale wanaonichukia nitawatazama wakishindwa.+

 8 Ni bora kumkimbilia Yehova

Kuliko kuwatumaini wanadamu.+

 9 Ni bora kumkimbilia Yehova

Kuliko kuwatumaini wakuu.+

10 Mataifa yote yalinizingira,

Lakini katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.+

11 Yalinizingira, naam, yalinizingira kabisa,

Lakini katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.

12 Yalinizingira kama nyuki,

Lakini yalizimwa haraka kama moto unaoteketeza miiba.

Katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.+

13 Nilisukumwa kwa nguvu* ili nianguke,

Lakini Yehova alinisaidia.

14 Yah ni mahali pangu pa kujificha na nguvu zangu,

Naye amekuwa wokovu wangu.+

15 Sauti ya shangwe na wokovu*

Imo katika mahema ya waadilifu.

Mkono wa kuume wa Yehova unaonyesha nguvu zake.+

16 Mkono wa kuume wa Yehova unajikweza;

Mkono wa kuume wa Yehova unaonyesha nguvu zake.+

17 Sitakufa, hapana, nitaishi,

Ili nizitangaze kazi za Yah.+

18 Yah aliniadhibu vikali,+

Lakini hakunitia mikononi mwa kifo.+

19 Nifungulieni malango ya uadilifu;+

Nitaingia humo na kumsifu Yah.

20 Hili ndilo lango la Yehova.

Waadilifu wataingia humo.+

21 Nitakusifu, kwa maana ulinijibu+

Nawe ukawa wokovu wangu.

22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa

Limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+

23 Hili limetoka kwa Yehova;+

Linastaajabisha machoni petu.+

24 Hii ndiyo siku ambayo Yehova ameifanya;

Tutaishangilia na kuifurahia.

25 Yehova, tuokoe, tafadhali, tunakusihi!

Yehova, tupe ushindi, tafadhali!

26 Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova;+

Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova.

27 Yehova ni Mungu;

Hutupatia nuru.+

Mkiwa na matawi mikononi jiungeni na maandamano ya sherehe,+

Mpaka kwenye pembe za madhabahu.+

28 Wewe ni Mungu wangu, nami nitakusifu;

Mungu wangu, nitakukweza.+

29 Mshukuruni Yehova,+ kwa maana yeye ni mwema;

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki