Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Ayubu atetea utimilifu wake (1-40)

        • “Agano na macho yangu” (1)

        • Aomba Mungu ampime (6)

        • Hakuwa mzinzi (9-12)

        • Hakupenda pesa (24, 25)

        • Hakuabudu sanamu (26-28)

Ayubu 31:1

Marejeo

  • +Met 6:25, 26; Mt 5:28
  • +Ayu 31:9, 10

Ayubu 31:3

Marejeo

  • +Ayu 20:26-29; Zb 73:3, 18; Met 10:29

Ayubu 31:4

Marejeo

  • +Mwa 16:13; 2Nya 16:9; Zb 139:3; Met 5:21; Yer 32:19

Ayubu 31:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “na watu wasiopenda kweli?”

Marejeo

  • +Zb 26:5; Met 6:16, 18

Ayubu 31:6

Marejeo

  • +1Sa 2:3
  • +Ayu 2:3; 27:5; Zb 7:8

Ayubu 31:7

Marejeo

  • +Kum 11:16; Yer 10:23
  • +Hes 15:39; Mhu 11:9; Eze 6:9; Mt 5:29; 1Yo 2:16

Ayubu 31:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “acha wazao wangu wang’olewe.”

Marejeo

  • +Law 26:16

Ayubu 31:9

Marejeo

  • +Ayu 31:1; Mt 5:28
  • +Ayu 24:15

Ayubu 31:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “acha wanaume wengine wapige magoti juu yake.”

Marejeo

  • +2Sa 12:9, 11; Yer 8:10

Ayubu 31:11

Marejeo

  • +Mwa 38:24; Law 20:10; Kum 22:22

Ayubu 31:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “unaokula (unaonyafua) na kuangamiza.”

  • *

    Au “Unaong’oa.”

Marejeo

  • +Met 6:25-27; 7:27

Ayubu 31:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kesi.”

Ayubu 31:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akiinuka?”

Marejeo

  • +Met 22:22, 23; Isa 10:1-3

Ayubu 31:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika tumbo la uzazi.”

Marejeo

  • +Ayu 34:19; Met 14:31; 22:2; Mal 2:10
  • +Zb 139:16

Ayubu 31:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “niliyadhoofisha macho ya mjane.”

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8
  • +Kum 10:18; Met 28:27

Ayubu 31:17

Marejeo

  • +Eze 18:5, 7; Yak 1:27; 1Yo 3:17

Ayubu 31:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tangu tumboni mwa mama yangu.”

Ayubu 31:19

Marejeo

  • +Isa 58:7; Lu 3:11; Yak 2:15, 16

Ayubu 31:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ikiwa kiuno chake hakikunibariki.”

Marejeo

  • +Kum 24:13

Ayubu 31:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Nilipoona kwamba nina watu wanaonisaidia katika lango la jiji.”

Marejeo

  • +Met 14:21
  • +Met 31:23

Ayubu 31:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtulinga.”

  • *

    Au “kwenye kiungio chake; kutoka kwenye mfupa wake wa juu.”

Ayubu 31:24

Marejeo

  • +Zb 49:6, 7; 1Ti 6:17

Ayubu 31:25

Marejeo

  • +Est 5:11; Zb 62:10; Met 11:28
  • +Kum 8:17, 18

Ayubu 31:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nuru iking’aa.”

Marejeo

  • +Kum 4:19

Ayubu 31:27

Marejeo

  • +Kum 11:16

Ayubu 31:29

Marejeo

  • +Met 17:5; 24:17, 18

Ayubu 31:30

Marejeo

  • +Mt 5:44; Ro 12:14

Ayubu 31:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyama yake.”

Marejeo

  • +Mwa 18:5; Ro 12:13

Ayubu 31:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mkaaji mgeni.”

Marejeo

  • +Mwa 19:1, 3; Ebr 13:2; 1Pe 4:9

Ayubu 31:33

Marejeo

  • +Mwa 3:8; Met 28:13; Mdo 5:8

Ayubu 31:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hii ndiyo sahihi yangu.”

Marejeo

  • +Ayu 19:7
  • +Ayu 13:22

Ayubu 31:39

Marejeo

  • +Yak 5:4
  • +1Fa 21:15

Jumla

Ayu. 31:1Met 6:25, 26; Mt 5:28
Ayu. 31:1Ayu 31:9, 10
Ayu. 31:3Ayu 20:26-29; Zb 73:3, 18; Met 10:29
Ayu. 31:4Mwa 16:13; 2Nya 16:9; Zb 139:3; Met 5:21; Yer 32:19
Ayu. 31:5Zb 26:5; Met 6:16, 18
Ayu. 31:61Sa 2:3
Ayu. 31:6Ayu 2:3; 27:5; Zb 7:8
Ayu. 31:7Kum 11:16; Yer 10:23
Ayu. 31:7Hes 15:39; Mhu 11:9; Eze 6:9; Mt 5:29; 1Yo 2:16
Ayu. 31:8Law 26:16
Ayu. 31:9Ayu 31:1; Mt 5:28
Ayu. 31:9Ayu 24:15
Ayu. 31:102Sa 12:9, 11; Yer 8:10
Ayu. 31:11Mwa 38:24; Law 20:10; Kum 22:22
Ayu. 31:12Met 6:25-27; 7:27
Ayu. 31:14Met 22:22, 23; Isa 10:1-3
Ayu. 31:15Ayu 34:19; Met 14:31; 22:2; Mal 2:10
Ayu. 31:15Zb 139:16
Ayu. 31:16Kum 15:7, 8
Ayu. 31:16Kum 10:18; Met 28:27
Ayu. 31:17Eze 18:5, 7; Yak 1:27; 1Yo 3:17
Ayu. 31:19Isa 58:7; Lu 3:11; Yak 2:15, 16
Ayu. 31:20Kum 24:13
Ayu. 31:21Met 14:21
Ayu. 31:21Met 31:23
Ayu. 31:24Zb 49:6, 7; 1Ti 6:17
Ayu. 31:25Est 5:11; Zb 62:10; Met 11:28
Ayu. 31:25Kum 8:17, 18
Ayu. 31:26Kum 4:19
Ayu. 31:27Kum 11:16
Ayu. 31:29Met 17:5; 24:17, 18
Ayu. 31:30Mt 5:44; Ro 12:14
Ayu. 31:31Mwa 18:5; Ro 12:13
Ayu. 31:32Mwa 19:1, 3; Ebr 13:2; 1Pe 4:9
Ayu. 31:33Mwa 3:8; Met 28:13; Mdo 5:8
Ayu. 31:35Ayu 19:7
Ayu. 31:35Ayu 13:22
Ayu. 31:39Yak 5:4
Ayu. 31:391Fa 21:15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 31:1-40

Ayubu

31 “Nimefanya agano na macho yangu.+

Basi ninawezaje kumtazama bikira kwa njia isiyofaa?+

 2 Basi, nitapata fungu gani kutoka kwa Mungu aliye juu,

Urithi gani kutoka kwa Mweza-Yote aliye juu?

 3 Je, msiba haumngojei mkosaji

Na maafa wale wanaofanya mambo yanayodhuru?+

 4 Je, yeye haoni njia zangu+

Na kuhesabu hatua zangu zote?

 5 Je, nimewahi kutembea katika njia isiyo ya kweli?*

Je, mguu wangu umekimbilia udanganyifu?+

 6 Mungu na anipime kwa mizani sahihi;+

Ndipo atakapotambua utimilifu wangu.+

 7 Hatua zangu zikikengeuka kutoka kwenye njia+

Au ikiwa moyo wangu umefuata macho yangu+

Au ikiwa mikono yangu imechafuliwa,

 8 Basi acha nipande mbegu na mtu mwingine ale,+

Na acha mimea ninayopanda ing’olewe.*

 9 Ikiwa moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke+

Nami nimenyemelea+ katika mlango wa jirani yangu,

10 Basi acha mke wangu amsagie nafaka mwanamume mwingine,

Na acha wanaume wengine wafanye ngono naye.*+

11 Kwa maana hilo lingekuwa tendo la aibu,

Kosa linalostahili adhabu kutoka kwa waamuzi.+

12 Ungekuwa moto unaoteketeza na kuangamiza,*+

Unaoteketeza hata mizizi ya* mazao yangu yote.

13 Ikiwa niliwanyima haki watumishi wangu wa kiume na wa kike

Walipokuwa na malalamiko* dhidi yangu,

14 Nitafanya nini Mungu akinikabili?*

Nitamjibu nini akinifanya niwajibike?+

15 Je, Yule aliyeniumba tumboni mwa mama yangu hakuwaumba wao pia?+

Je, si Ndiye aliyetuumba sisi kabla hatujazaliwa?*+

16 Ikiwa nilikataa kuwapa maskini walichotamani+

Au ikiwa niliyahuzunisha macho ya mjane;*+

17 Ikiwa nilikula chakula changu peke yangu

Bila kuwagawia mayatima;+

18 (Kwa maana tangu nilipokuwa kijana, nimemlea yatima kana kwamba mimi ni baba yake,

Nami nimekuwa kiongozi wa mjane tangu utotoni.*)

19 Ikiwa nilimwona yeyote akiangamia kwa kukosa mavazi

Au maskini asiye na chochote cha kujifunika;+

20 Ikiwa hakunibariki*+

Alipokuwa akijipasha joto kwa manyoya ya kondoo wangu;

21 Ikiwa nilitikisa ngumi yangu na kumtisha yatima+

Alipohitaji msaada wangu kwenye lango la jiji;*+

22 Basi acha mkono* wangu ung’oke kutoka begani mwangu,

Na acha mkono wangu uvunjwe kwenye kiwiko* chake.

23 Kwa maana niliogopa sana msiba kutoka kwa Mungu,

Nami sikuweza kustahimili adhama yake.

24 Ikiwa nilifanya dhahabu kuwa tumaini langu

Au kuiambia dhahabu bora, ‘Wewe ni mlinzi wangu!’+

25 Ikiwa shangwe yangu ilikuwa utajiri wangu mwingi+

Kwa sababu ya mali nyingi nilizokusanya;+

26 Ikiwa niliona jua liking’aa*

Au mwezi ukizunguka kwa fahari yake;+

27 Na moyo wangu ukashawishiwa kwa siri,

Na kinywa changu kikabusu mkono wangu nikiviabudu;+

28 Basi hilo ni kosa linalostahili adhabu kutoka kwa waamuzi,

Kwa maana nitakuwa nimemkana Mungu wa kweli aliye juu.

29 Je, nimewahi kushangilia kuangamizwa kwa adui yangu+

Au kumcheka kwa sababu amepatwa na uovu?

30 Sikuruhusu kamwe kinywa changu kitende dhambi

Kwa kuapa kwamba afe.+

31 Je, watu wa hema langu hawajauliza,

‘Ni nani anayeweza kumpata mtu ambaye hajashibishwa na chakula chake?’*+

32 Hakuna mgeni* aliyelazimika kulala nje usiku;+

Nilimfungulia milango msafiri.

33 Je, nimewahi kujaribu kufunika dhambi zangu, kama watu wengine,+

Kwa kuficha uovu wangu katika mfuko wa vazi langu?

34 Je, nimewahi kuogopa umati utakavyotenda,

Au kutishwa na dharau za familia nyingine,

Na hivyo kukaa kimya na kuogopa kutoka nje?

35 Laiti mtu fulani angenisikiliza!+

Ningeweka sahihi ya jina langu kwenye mambo niliyosema!*

Mweza-Yote na anijibu!+

Laiti mshtaki wangu angeandika mashtaka yangu kwenye hati!

36 Ningeibebea begani mwangu,

Nami ningeifunga kama taji kuzunguka kichwa changu.

37 Ningempa habari kuhusu kila hatua niliyopiga;

Ningemfikia kwa ujasiri, kama kiongozi.

38 Ikiwa ardhi yangu mwenyewe ingetoa kilio dhidi yangu

Na mitaro yake ingelia pamoja;

39 Ikiwa nimekula mazao yake bila kulipa,+

Au ikiwa nimewakatisha tamaa wamiliki wake;+

40 Basi miiba ichipuke kwa ajili yangu badala ya ngano

Na magugu yenye harufu mbaya badala ya shayiri.”

Maneno ya Ayubu yanaishia hapa.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki