Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Ayubu aendelea kujibu (1-16)

        • “Wadhihaki wananizunguka” (2)

        • “Amenifanya niwe kitu cha kudharauliwa” (6)

        • “Kaburi litakuwa makao yangu” (13)

Ayubu 17:1

Marejeo

  • +Zb 88:3, 4; Isa 38:10

Ayubu 17:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuendelea kuangalia.”

Marejeo

  • +Zb 35:16; Ebr 11:36

Ayubu 17:3

Marejeo

  • +Met 17:18

Ayubu 17:4

Marejeo

  • +2Sa 17:14; Isa 6:10; Mt 11:25

Ayubu 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “methali; msemo.”

Marejeo

  • +Zb 69:11, 12
  • +Ayu 30:9, 10

Ayubu 17:7

Marejeo

  • +Ayu 16:16; Zb 6:7; 31:9

Ayubu 17:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwasi imani.”

Ayubu 17:9

Marejeo

  • +Zb 119:165
  • +Zb 24:3, 4; 84:5, 7

Ayubu 17:10

Marejeo

  • +Ayu 6:29

Ayubu 17:11

Marejeo

  • +Ayu 7:6; 9:25; Isa 38:10
  • +Yak 4:13, 14

Ayubu 17:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mhu 12:5, 7
  • +Ayu 10:21, 22

Ayubu 17:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburi.”

Marejeo

  • +Zb 49:7, 9; 143:7

Ayubu 17:15

Marejeo

  • +Ayu 7:6; 14:19; 19:10

Ayubu 17:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, tumaini langu.

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Ayu 3:19

Jumla

Ayu. 17:1Zb 88:3, 4; Isa 38:10
Ayu. 17:2Zb 35:16; Ebr 11:36
Ayu. 17:3Met 17:18
Ayu. 17:42Sa 17:14; Isa 6:10; Mt 11:25
Ayu. 17:6Zb 69:11, 12
Ayu. 17:6Ayu 30:9, 10
Ayu. 17:7Ayu 16:16; Zb 6:7; 31:9
Ayu. 17:9Zb 119:165
Ayu. 17:9Zb 24:3, 4; 84:5, 7
Ayu. 17:10Ayu 6:29
Ayu. 17:11Ayu 7:6; 9:25; Isa 38:10
Ayu. 17:11Yak 4:13, 14
Ayu. 17:13Mhu 12:5, 7
Ayu. 17:13Ayu 10:21, 22
Ayu. 17:14Zb 49:7, 9; 143:7
Ayu. 17:15Ayu 7:6; 14:19; 19:10
Ayu. 17:16Mwa 3:19; Ayu 3:19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 17:1-16

Ayubu

17 “Roho yangu imevunjwa, siku zangu zimezimwa;

Makaburi yananingojea.+

 2 Wadhihaki wananizunguka,+

Na macho yangu yanalazimika kutazama* uasi wao.

 3 Tafadhali ikubali dhamana yangu, na ukae nayo.

Ni nani mwingine atakayenipa mkono wake na kutoa dhamana kwa niaba yangu?+

 4 Kwa sababu umeficha utambuzi mbali na moyo wao;+

Ndiyo maana huwakwezi.

 5 Huenda akajitolea kushiriki vitu vyake na rafiki zake,

Huku macho ya watoto wake yakidhoofika.

 6 Amenifanya niwe kitu cha kudharauliwa* miongoni mwa mataifa,+

Hivi kwamba nikawa mtu wanayemtemea mate usoni.+

 7 Macho yangu yanafifia kwa sababu ya maumivu makali,+

Na viungo vyangu vyote ni kivuli tu.

 8 Watu wanyoofu wananitazama kwa mshangao,

Na asiye na hatia anasumbuka kwa sababu ya mtu anayemkataa Mungu.*

 9 Mwadilifu anaendelea kushikamana na njia yake,+

Na mwenye mikono safi anazidi kuwa na nguvu.+

10 Hata hivyo, nyote mnaweza kuja na kuendelea kunishambulia kwa hoja zenu,

Kwa maana sijamwona yeyote mwenye hekima miongoni mwenu.+

11 Siku zangu zimekwisha;+

Mipango yangu, tamaa za moyo wangu, zimevunjwavunjwa.+

12 Wanaendelea kufanya usiku uwe mchana,

Wakisema, ‘Bila shaka mwangaza unakaribia kwa sababu kuna giza.’

13 Nikisubiri, Kaburi* litakuwa makao yangu;+

Nitakitandaza kitanda changu gizani.+

14 Nitaliambia shimo*+ kwa sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’

Na mabuu, ‘Ninyi ni mama yangu na dada yangu!’

15 Basi, tumaini langu liko wapi?+

Ni nani anayeweza kuona tumaini hilo?

16 Litashuka* kwenye malango ya Kaburi* yenye makomeo

Tutakaposhuka sote pamoja mavumbini.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki