Zaburi
Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi, Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Daudi anajificha miongoni mwetu.”+
2 Ee Mungu, isikie sala yangu;+
Sikiliza maneno ya kinywa changu.
4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+
Yehova yuko pamoja na wale wanaonitegemeza.
6 Nitakutolea dhabihu+ kwa hiari.
Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+