Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 54
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba msaada unapokuwa kati ya maadui

        • “Mungu ni msaidizi wangu” (4)

Zaburi 54:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Sa 23:19; 26:1

Zaburi 54:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uamue kesi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 20:1; 79:9; Met 18:10
  • +Zb 43:1

Zaburi 54:2

Marejeo

  • +Zb 13:3; 65:2

Zaburi 54:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yangu.”

  • *

    Au “Hawamweki Mungu mbele yao.”

Marejeo

  • +Zb 22:16; 59:3
  • +Zb 36:1

Zaburi 54:4

Marejeo

  • +1Nya 12:18; Ebr 13:6

Zaburi 54:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanyamazishe.”

Marejeo

  • +Ro 12:19
  • +Zb 143:12

Zaburi 54:6

Marejeo

  • +Zb 50:14; Ebr 13:15
  • +Zb 7:17; 52:9

Zaburi 54:7

Marejeo

  • +2Sa 4:9; Zb 34:19; 37:39
  • +Zb 37:34; 59:10

Jumla

Zab. 54:utangulizi1Sa 23:19; 26:1
Zab. 54:1Zb 20:1; 79:9; Met 18:10
Zab. 54:1Zb 43:1
Zab. 54:2Zb 13:3; 65:2
Zab. 54:3Zb 22:16; 59:3
Zab. 54:3Zb 36:1
Zab. 54:41Nya 12:18; Ebr 13:6
Zab. 54:5Ro 12:19
Zab. 54:5Zb 143:12
Zab. 54:6Zb 50:14; Ebr 13:15
Zab. 54:6Zb 7:17; 52:9
Zab. 54:72Sa 4:9; Zb 34:19; 37:39
Zab. 54:7Zb 37:34; 59:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 54:1-7

Zaburi

Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi, Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Daudi anajificha miongoni mwetu.”+

54 Ee Mungu, niokoe kwa jina lako,+

Na unitetee*+ kwa nguvu zako.

 2 Ee Mungu, isikie sala yangu;+

Sikiliza maneno ya kinywa changu.

 3 Kwa maana wageni wanainuka dhidi yangu,

Na wanaume wakatili wanatafuta uhai wangu.*+

Hawamheshimu Mungu.*+ (Sela)

 4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+

Yehova yuko pamoja na wale wanaonitegemeza.

 5 Utawalipa maadui wangu+ uovu wao wenyewe;

Katika uaminifu wako, waangamize.*+

 6 Nitakutolea dhabihu+ kwa hiari.

Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+

 7 Kwa maana wewe huniokoa kutoka katika kila taabu,+

Nami nitawatazama maadui wangu wakishindwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki