Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 84
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kutamani sana hema tukufu la Mungu la ibada

        • Mlawi atamani kuwa kama ndege (3)

        • “Siku moja katika nyua zako” (10)

        • “Mungu ni jua na ngao” (11)

Zaburi 84:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 84:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “linavyopendwa sana.”

Marejeo

  • +Zb 27:4; 43:3; 46:4

Zaburi 84:2

Marejeo

  • +Zb 42:1, 2; 63:1, 2

Zaburi 84:4

Marejeo

  • +Zb 23:6; 65:4
  • +1Nya 25:7; Zb 150:1

Zaburi 84:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “inakazia.”

Marejeo

  • +Zb 28:7

Zaburi 84:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “bonde lenye vichaka vya mibaka.”

  • *

    Au labda, “Na mfundishaji hujifunika mwenyewe.”

Zaburi 84:7

Marejeo

  • +Zb 18:32; Isa 40:29-31; Hab 3:19

Zaburi 84:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Itazame ngao yetu, Ee Mungu.”

Marejeo

  • +Mwa 15:1
  • +1Sa 2:10

Zaburi 84:10

Marejeo

  • +Zb 26:8; 27:4; 43:3, 4

Zaburi 84:11

Marejeo

  • +Zb 27:1; Isa 60:19, 20
  • +Kum 33:29; 2Sa 22:3; Zb 144:2
  • +Zb 34:9; 37:18

Zaburi 84:12

Marejeo

  • +Zb 146:5; Yer 17:7

Jumla

Zab. 84:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 84:1Zb 27:4; 43:3; 46:4
Zab. 84:2Zb 42:1, 2; 63:1, 2
Zab. 84:4Zb 23:6; 65:4
Zab. 84:41Nya 25:7; Zb 150:1
Zab. 84:5Zb 28:7
Zab. 84:7Zb 18:32; Isa 40:29-31; Hab 3:19
Zab. 84:9Mwa 15:1
Zab. 84:91Sa 2:10
Zab. 84:10Zb 26:8; 27:4; 43:3, 4
Zab. 84:11Zb 27:1; Isa 60:19, 20
Zab. 84:11Kum 33:29; 2Sa 22:3; Zb 144:2
Zab. 84:11Zb 34:9; 37:18
Zab. 84:12Zb 146:5; Yer 17:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 84:1-12

Zaburi

Kwa kiongozi; juu ya Gitithi.* Muziki wa wana wa Kora.+

84 Jinsi linavyovutia sana* hema lako tukufu la ibada,+

Ee Yehova wa majeshi!

 2 Nafsi yangu yote inatamani,

Naam, ninazimia kwa kutamani,

Nyua za Yehova.+

Moyo wangu na mwili wangu humshangilia kwa sauti Mungu aliye hai.

 3 Hata ndege hupata makao huko

Na mbayuwayu hujipatia kiota,

Ambamo huyatunza makinda wake

Karibu na madhabahu yako tukufu, Ee Yehova wa majeshi,

Mfalme wangu na Mungu wangu!

 4 Wenye furaha ni wale wanaokaa katika nyumba yako!+

Wanaendelea kukusifu.+ (Sela)

 5 Wenye furaha ni watu wanaopata nguvu kutoka kwako,+

Ambao mioyo yao inatamani sana* barabara kuu.

 6 Wanapopita katika Bonde la Mibaka,*

Wanalifanya kuwa mahali penye chemchemi;

Na mvua ya mapema hulivisha* baraka.

 7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hadi nguvu zaidi;+

Kila mmoja wao hufika mbele za Mungu kule Sayuni.

 8 Ee Yehova Mungu wa majeshi, isikie sala yangu;

Sikiliza, Ee Mungu wa Yakobo. (Sela)

 9 Tazama, ngao yetu+ na Mungu wetu,*

Utazame uso wa mtiwa-mafuta wako.+

10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko!+

Ninachagua kusimama kwenye kizingiti cha nyumba ya Mungu wangu

Badala ya kukaa katika mahema ya uovu.

11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

Yeye hutoa kibali na utukufu.

Yehova hatawanyima jambo lolote jema

Wale wanaotembea kwa utimilifu.+

12 Ee Yehova wa majeshi,

Mwenye furaha ni mtu anayekutumaini.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki