Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya mtu anayekabili maadui

        • “Ee Mungu, usinyamaze” (1)

        • Maadui ni kama mwiba unaopeperushwa (13)

        • Jina la Mungu ni Yehova (18)

Zaburi 83:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 20:14

Zaburi 83:1

Marejeo

  • +Zb 28:1

Zaburi 83:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanainua vichwa vyao.”

Marejeo

  • +Zb 2:1, 2

Zaburi 83:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliofichwa.”

Zaburi 83:4

Marejeo

  • +Kut 1:8-10; 2Nya 20:1; Est 3:6

Zaburi 83:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wanashauriana kwa moyo mmoja.”

  • *

    Au “Wamefanya agano.”

Marejeo

  • +2Sa 10:6; Isa 7:2, 5

Zaburi 83:6

Marejeo

  • +2Nya 20:1, 10
  • +1Nya 5:10

Zaburi 83:7

Marejeo

  • +Yer 49:2
  • +Kut 15:14; Zb 60:8
  • +Amo 1:9

Zaburi 83:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wamekuwa mkono kwa.”

Marejeo

  • +2Fa 17:5
  • +Mwa 19:36-38; Kum 2:9

Zaburi 83:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “korongo la.”

Marejeo

  • +Amu 8:10, 12
  • +Amu 4:2, 7, 15

Zaburi 83:10

Marejeo

  • +Yos 17:11

Zaburi 83:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “viongozi.”

Marejeo

  • +Amu 7:25
  • +Amu 8:21

Zaburi 83:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kama mbaruti.”

Marejeo

  • +Isa 17:13

Zaburi 83:14

Marejeo

  • +Zb 144:5; Nah 1:6

Zaburi 83:15

Marejeo

  • +Isa 30:30
  • +Zb 11:6

Zaburi 83:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Jaza nyuso zao aibu.”

Zaburi 83:18

Marejeo

  • +Kut 6:3; Zb 68:4; Isa 42:8; 54:5
  • +Zb 59:13; 92:8; Da 4:17

Jumla

Zab. 83:utangulizi2Nya 20:14
Zab. 83:1Zb 28:1
Zab. 83:2Zb 2:1, 2
Zab. 83:4Kut 1:8-10; 2Nya 20:1; Est 3:6
Zab. 83:52Sa 10:6; Isa 7:2, 5
Zab. 83:62Nya 20:1, 10
Zab. 83:61Nya 5:10
Zab. 83:7Yer 49:2
Zab. 83:7Kut 15:14; Zb 60:8
Zab. 83:7Amo 1:9
Zab. 83:82Fa 17:5
Zab. 83:8Mwa 19:36-38; Kum 2:9
Zab. 83:9Amu 8:10, 12
Zab. 83:9Amu 4:2, 7, 15
Zab. 83:10Yos 17:11
Zab. 83:11Amu 7:25
Zab. 83:11Amu 8:21
Zab. 83:13Isa 17:13
Zab. 83:14Zb 144:5; Nah 1:6
Zab. 83:15Isa 30:30
Zab. 83:15Zb 11:6
Zab. 83:18Kut 6:3; Zb 68:4; Isa 42:8; 54:5
Zab. 83:18Zb 59:13; 92:8; Da 4:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 83:1-18

Zaburi

Wimbo. Muziki wa Asafu.+

83 Ee Mungu, usinyamaze;+

Usikae kimya wala kutulia, Ee Mungu.

 2 Kwa maana, tazama! Maadui wako wanafanya fujo;+

Wale wanaokuchukia wanatenda kwa kiburi.*

 3 Kwa hila wanapanga njama kwa siri dhidi ya watu wako;

Wanapanga njama dhidi ya watu wako unaowathamini.*

 4 Wanasema: “Njooni, acheni tuwaangamize wakiwa taifa,+

Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena kamwe.”

 5 Kwa umoja wanatunga mbinu;*

Wameungana* dhidi yako+—

 6 Mahema ya Edomu na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+

 7 Gebali na Amoni+ na Amaleki,

Ufilisti+ pamoja na wakaaji wa Tiro.+

 8 Pia Ashuru+ imejiunga nao;

Wanawaunga mkono* wana wa Loti.+ (Sela)

 9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+

Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+

10 Waliangamizwa kule En-dori;+

Wakawa mbolea juu ya ardhi.

11 Wafanye viongozi wao wawe kama Orebu na Zeebu+

Na wakuu* wao kama Zeba na Zalmuna,+

12 Kwa maana walisema: “Na tuimiliki nchi ambamo Mungu anakaa.”

13 Ee Mungu wangu, wafanye wawe kama mchongoma unaopeperushwa,*+

Kama majani makavu yanayopeperushwa na upepo.

14 Kama moto unaoteketeza kabisa msitu,

Kama mwali wa moto unaounguza milima,+

15 Wafuatie vivyo hivyo kwa tufani yako+

Na kuwaogopesha kwa dhoruba yako ya upepo.+

16 Funika nyuso zao kwa aibu,*

Ili walitafute jina lako, Ee Yehova.

17 Na waaibishwe na kuogopeshwa milele;

Na wafedheheshwe na kuangamia;

18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki