Zaburi
113 Msifuni Yah!*
Msifuni, enyi watumishi wa Yehova,
Lisifuni jina la Yehova.
2 Jina la Yehova na lisifiwe
Kuanzia sasa mpaka milele.+
3 Kuanzia jua linapochomoza mpaka linapotua,
Jina la Yehova na lisifiwe.+
6 Huinama chini ili atazame mbingu na dunia,+
7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini.
Humwinua juu maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+
8 Ili amketishe pamoja na viongozi,
Pamoja na viongozi wa watu wake.
Msifuni Yah!*