Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 113
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu aliye juu humwinua mtu wa hali ya chini

        • Jina la Yehova lasifiwa milele (2)

        • Mungu huinama chini (6)

Zaburi 113:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Zaburi 113:2

Marejeo

  • +1Nya 16:36; 29:10; Zb 106:48

Zaburi 113:3

Marejeo

  • +Zb 72:19; 86:9; Isa 59:19; Mal 1:11

Zaburi 113:4

Marejeo

  • +Zb 97:9; 99:2
  • +1Fa 8:27

Zaburi 113:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Anayeketi juu kwenye kiti cha ufalme?”

Marejeo

  • +Kut 15:11

Zaburi 113:6

Marejeo

  • +Zb 18:35; 138:6; Isa 57:15; 66:2

Zaburi 113:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “jaa la takataka.”

Marejeo

  • +1Sa 2:7

Zaburi 113:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +1Sa 2:5; Isa 54:1

Jumla

Zab. 113:21Nya 16:36; 29:10; Zb 106:48
Zab. 113:3Zb 72:19; 86:9; Isa 59:19; Mal 1:11
Zab. 113:4Zb 97:9; 99:2
Zab. 113:41Fa 8:27
Zab. 113:5Kut 15:11
Zab. 113:6Zb 18:35; 138:6; Isa 57:15; 66:2
Zab. 113:71Sa 2:7
Zab. 113:91Sa 2:5; Isa 54:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 113:1-9

Zaburi

113 Msifuni Yah!*

Msifuni, enyi watumishi wa Yehova,

Lisifuni jina la Yehova.

 2 Jina la Yehova na lisifiwe

Kuanzia sasa mpaka milele.+

 3 Kuanzia jua linapochomoza mpaka linapotua,

Jina la Yehova na lisifiwe.+

 4 Yehova yuko juu zaidi ya mataifa yote;+

Utukufu wake uko juu ya mbingu.+

 5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+

Anayekaa juu?*

 6 Huinama chini ili atazame mbingu na dunia,+

 7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini.

Humwinua juu maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+

 8 Ili amketishe pamoja na viongozi,

Pamoja na viongozi wa watu wake.

 9 Humpa makao mwanamke tasa

Kama mama mwenye furaha aliye na watoto.*+

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki