Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Jibu la Ayubu (1-22)

        • ‘Ninyi ni wafariji wasumbufu!’ (2)

        • Adai kwamba Mungu anamfanya kuwa shabaha yake (12)

Ayubu 16:2

Marejeo

  • +Ayu 13:4, 5; 19:2, 3

Ayubu 16:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ya ubatili.”

Ayubu 16:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ikiwa nafsi zenu zingechukua nafasi ya nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 109:25; Mt 27:39

Ayubu 16:5

Marejeo

  • +Met 27:9; Mt 7:12; Ro 12:15; 1Pe 3:8

Ayubu 16:6

Marejeo

  • +Ayu 2:13

Ayubu 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Amewaangamiza wale wanaokusanyika nami.”

Marejeo

  • +Ayu 7:3

Ayubu 16:9

Marejeo

  • +Ayu 10:16
  • +Ayu 33:8-10

Ayubu 16:10

Marejeo

  • +Zb 22:13
  • +Zb 35:15

Ayubu 16:11

Marejeo

  • +Zb 27:12

Ayubu 16:12

Marejeo

  • +Ayu 1:12, 17

Ayubu 16:13

Marejeo

  • +Ayu 7:20
  • +Zb 73:21

Ayubu 16:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu zangu.” Tnn., “pembe yangu.”

Marejeo

  • +1Fa 21:27; 2Fa 6:30
  • +Ayu 30:19; Zb 7:5

Ayubu 16:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kivuli cha kifo.”

Marejeo

  • +Zb 6:6; 31:9; Omb 1:16

Ayubu 16:18

Marejeo

  • +Mwa 4:8, 10; Zb 72:14

Ayubu 16:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “yakikosa usingizi.”

Marejeo

  • +Ayu 12:4
  • +Zb 40:1; 142:2

Ayubu 16:21

Marejeo

  • +Ayu 31:35

Ayubu 16:22

Marejeo

  • +Ayu 7:9; 14:10; Mhu 12:5

Jumla

Ayu. 16:2Ayu 13:4, 5; 19:2, 3
Ayu. 16:4Zb 109:25; Mt 27:39
Ayu. 16:5Met 27:9; Mt 7:12; Ro 12:15; 1Pe 3:8
Ayu. 16:6Ayu 2:13
Ayu. 16:7Ayu 7:3
Ayu. 16:9Ayu 10:16
Ayu. 16:9Ayu 33:8-10
Ayu. 16:10Zb 22:13
Ayu. 16:10Zb 35:15
Ayu. 16:11Zb 27:12
Ayu. 16:12Ayu 1:12, 17
Ayu. 16:13Ayu 7:20
Ayu. 16:13Zb 73:21
Ayu. 16:151Fa 21:27; 2Fa 6:30
Ayu. 16:15Ayu 30:19; Zb 7:5
Ayu. 16:16Zb 6:6; 31:9; Omb 1:16
Ayu. 16:18Mwa 4:8, 10; Zb 72:14
Ayu. 16:20Ayu 12:4
Ayu. 16:20Zb 40:1; 142:2
Ayu. 16:21Ayu 31:35
Ayu. 16:22Ayu 7:9; 14:10; Mhu 12:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 16:1-22

Ayubu

16 Ayubu akajibu:

2 “Nimeshasikia mambo mengi kama hayo.

Ninyi nyote ni wafariji wasumbufu!+

 3 Je, maneno yasiyo na maana* yana mwisho?

Ni nini kinachowachochea kujibu hivi?

 4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi.

Ikiwa mngekuwa katika hali yangu,*

Ningetoa hoja zenye kusadikisha dhidi yenu

Na kuwatikisia kichwa changu.+

 5 Hata hivyo, badala yake, ningewaimarisha kwa maneno ya kinywa changu,

Na faraja ya midomo yangu ingewatuliza.+

 6 Nikiongea, maumivu yangu mwenyewe hayatulii,+

Nami nikiacha kuongea, maumivu yangu yanapungua kwa kadiri gani?

 7 Lakini sasa amenichosha;+

Ameiangamiza nyumba yangu yote.*

 8 Pia unanikamata, na wengine wameshuhudia jambo hilo,

Hivi kwamba kukonda kwangu kumezidi na kunatoa ushahidi mbele yangu.

 9 Hasira yake imenirarua vipandevipande, naye ana chuki kunielekea.+

Hunisagia meno yake.

Adui yangu hunitoboa kwa macho yake.+

10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+

Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;

Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+

11 Mungu hunitia mikononi mwa wavulana,

Naye hunitupa kwa nguvu mikononi mwa waovu.+

12 Nilikuwa na amani, lakini akanivunjavunja;+

Alinikamata nyuma shingoni na kunipondaponda;

Kisha akanifanya shabaha yake.

13 Wapiga mishale wake wananizunguka;+

Huzichoma figo+ zangu bila huruma;

Humwaga nyongo yangu ardhini.

14 Hunitoboa tena na tena kama ukuta;

Hunishambulia kama shujaa.

15 Nimeshona nguo ya magunia ili kufunika ngozi yangu,+

Nami nimezika heshima yangu* mavumbini.+

16 Uso wangu ni mwekundu kwa sababu ya kulia,+

Na kuna kivuli kizito* juu ya kope zangu,

17 Ingawa mikono yangu haijatenda ukatili wowote

Na sala yangu ni safi.

18 Ee dunia, usiifunike damu yangu!+

Acha kilio changu kisiwe na mahali pa kupumzikia!

19 Hata sasa, shahidi wangu yuko mbinguni;

Yule anayeweza kunitetea yuko juu.

20 Rafiki zangu wananidhihaki+

Huku macho yangu yakimwaga machozi* nikimlilia Mungu.+

21 Acha mtu fulani awe mwamuzi kati ya mwanadamu na Mungu,

Kama anavyoweza kuwa mwamuzi kati ya mtu mmoja na mwenzake.+

22 Kwa maana miaka iliyobaki ni michache,

Nami nitafuata njia ambayo wale wanaoifuata hawarudi.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki