Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Yeremia awekwa kuwa nabii (1-10)

      • Maono ya mti wa mlozi (11, 12)

      • Maono ya chungu cha kupikia (13-16)

      • Yeremia atiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19)

Yeremia 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Huenda jina hili linamaanisha “Yehova Huinua.”

Marejeo

  • +Yos 21:8, 18

Yeremia 1:2

Marejeo

  • +2Fa 22:1, 2
  • +2Fa 21:19, 20

Yeremia 1:3

Marejeo

  • +2Fa 24:1; 2Nya 36:4
  • +2Fa 24:18, 19
  • +2Fa 25:8, 11; Yer 52:12, 15

Yeremia 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nilikuchagua.”

  • *

    Tnn., “kabla hujatoka tumboni.”

  • *

    Au “nilikuweka kando.”

Marejeo

  • +Amu 13:5; Zb 139:15, 16
  • +Lu 1:13, 15

Yeremia 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kijana.”

Marejeo

  • +Kut 4:10
  • +1Fa 3:5, 7

Yeremia 1:7

Marejeo

  • +Kut 7:1, 2

Yeremia 1:8

Marejeo

  • +Eze 2:6
  • +Kut 3:11, 12; Yer 15:20; Mdo 18:9, 10

Yeremia 1:9

Marejeo

  • +Isa 6:7
  • +Kut 4:12, 15; Eze 33:7

Yeremia 1:10

Marejeo

  • +Yer 18:7-10; 24:5, 6

Yeremia 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yule anayeamka.”

Yeremia 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “chungu cha kupikia chenye mdomo mpana.”

  • *

    Tnn., “kinachopuliziwa,” kuonyesha moto unaochochewa chini yake.

Yeremia 1:14

Marejeo

  • +Yer 6:1; 10:22

Yeremia 1:15

Marejeo

  • +Yer 5:15; 6:22; 25:9
  • +Yer 39:3
  • +Kum 28:52; Yer 34:22; 44:6

Yeremia 1:16

Marejeo

  • +Yos 24:20; 2Fa 22:17; 2Nya 7:19, 20
  • +Eze 8:10, 11; Ho. 11:2
  • +Isa 2:8

Yeremia 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kujifunga kiuno.”

Marejeo

  • +Eze 2:6

Yeremia 1:18

Marejeo

  • +Yer 15:20; 20:11; Eze 3:8; Mik 3:8
  • +Yer 26:12

Yeremia 1:19

Marejeo

  • +Mwa 28:15; Kut 3:12; Yos 1:5

Jumla

Yer. 1:1Yos 21:8, 18
Yer. 1:22Fa 22:1, 2
Yer. 1:22Fa 21:19, 20
Yer. 1:32Fa 24:1; 2Nya 36:4
Yer. 1:32Fa 24:18, 19
Yer. 1:32Fa 25:8, 11; Yer 52:12, 15
Yer. 1:5Amu 13:5; Zb 139:15, 16
Yer. 1:5Lu 1:13, 15
Yer. 1:6Kut 4:10
Yer. 1:61Fa 3:5, 7
Yer. 1:7Kut 7:1, 2
Yer. 1:8Eze 2:6
Yer. 1:8Kut 3:11, 12; Yer 15:20; Mdo 18:9, 10
Yer. 1:9Isa 6:7
Yer. 1:9Kut 4:12, 15; Eze 33:7
Yer. 1:10Yer 18:7-10; 24:5, 6
Yer. 1:14Yer 6:1; 10:22
Yer. 1:15Yer 5:15; 6:22; 25:9
Yer. 1:15Yer 39:3
Yer. 1:15Kum 28:52; Yer 34:22; 44:6
Yer. 1:16Yos 24:20; 2Fa 22:17; 2Nya 7:19, 20
Yer. 1:16Eze 8:10, 11; Ho. 11:2
Yer. 1:16Isa 2:8
Yer. 1:17Eze 2:6
Yer. 1:18Yer 15:20; 20:11; Eze 3:8; Mik 3:8
Yer. 1:18Yer 26:12
Yer. 1:19Mwa 28:15; Kut 3:12; Yos 1:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 1:1-19

Yeremia

1 Haya ndiyo maneno ya Yeremia* mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani wa Anathothi+ katika nchi ya Benjamini. 2 Neno la Yehova lilimjia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni,+ mfalme wa Yuda, katika mwaka wa 13 wa utawala wake. 3 Pia lilikuja katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, hadi mwishoni mwa mwaka wa 11 wa utawala wa Sedekia+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka Yerusalemu lilipoenda uhamishoni katika mwezi wa tano.+

4 Neno la Yehova lilinijia, likisema:

 5 “Kabla sijakuumba tumboni nilikujua,*+

Na kabla hujazaliwa* nilikutakasa.*+

Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”

 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!

Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+

 7 Kisha Yehova akaniambia:

“Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’

Kwa maana ni lazima uende kwa wote nitakaokutuma kwao,

Nawe unapaswa kusema kila jambo nitakalokuamuru.+

 8 Usiogope kwa sababu ya jinsi wanavyoonekana,+

Kwa maana ‘mimi niko pamoja nawe ili nikuokoe,’+ asema Yehova.”

9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+ 10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+

11 Neno la Yehova likanijia tena, likisema: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Ninaona tawi la mti wa mlozi.”*

12 Yehova akaniambia: “Uko sahihi, kwa maana niko macho kabisa kuhusu neno langu ili kulitimiza.”

13 Neno la Yehova likanijia mara ya pili, likisema: “Unaona nini?” Basi nikasema: “Ninaona chungu* kinachochemka,* na mdomo wake umeinama kutoka kaskazini.” 14 Kisha Yehova akaniambia:

“Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini

Dhidi ya wakaaji wote wa nchi.+

15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+

‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalme

Kwenye malango ya Yerusalemu,+

Dhidi ya kuta zake pande zote

Na dhidi ya majiji yote ya Yuda.+

16 Nami nitatangaza hukumu zangu dhidi yao kwa sababu ya uovu wao wote,

Kwa sababu wameniacha,+

Nao wanaifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu+

Na kuziinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+

17 Lakini unapaswa kuwa tayari kuchukua hatua,*

Nawe unapaswa kusimama na kuwaambia kila jambo ninalokuamuru.

Usiwaogope,+

Ili nisikuogopeshe mbele yao.

18 Kwa maana leo nimekufanya uwe jiji lenye ngome,

Nguzo ya chuma, na kuta za shaba dhidi ya nchi yote,+

Kuelekea wafalme wa Yuda na wakuu wake,

Kuelekea makuhani wake na watu wa nchi.+

19 Nao hakika watapigana nawe,

Lakini hawatakushinda,

Kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikuokoe.’”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki