Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 30
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • MANENO YA AGURI (1-33)

        • Usinipe umaskini wala utajiri (8)

        • Vitu visivyotosheka kamwe (15, 16)

        • Vitu visivyoacha alama (18, 19)

        • Mwanamke mzinzi (20)

        • Wanyama wenye hekima ya kisilika (24)

Methali 30:2

Marejeo

  • +Ayu 42:3

Methali 30:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ameinua.”

Marejeo

  • +Yoh 3:13
  • +Isa 40:12
  • +Ayu 38:4

Methali 30:5

Marejeo

  • +Zb 12:6
  • +Mwa 15:1; 2Sa 22:31; Zb 84:11

Methali 30:6

Marejeo

  • +Kum 4:2; Ufu 22:18

Methali 30:8

Marejeo

  • +Met 12:22
  • +Mt 6:11; 1Ti 6:8

Methali 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulishambulia.”

Marejeo

  • +Kum 6:10-12

Methali 30:10

Marejeo

  • +Da 6:24

Methali 30:11

Marejeo

  • +Law 20:9; Met 19:26; Mk 7:10, 11

Methali 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinyesi chake.”

Marejeo

  • +Zb 36:1, 2; Isa 65:5; 1Yo 1:8

Methali 30:13

Marejeo

  • +Zb 101:5; Met 6:16, 17

Methali 30:14

Marejeo

  • +Zb 14:4; Met 22:16; Isa 32:7

Methali 30:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 27:20

Methali 30:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “korongoni.”

Marejeo

  • +Met 23:22
  • +Law 20:9; Kum 21:18, 21; Met 20:20

Methali 30:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ambayo ni ya ajabu sana kwangu.”

Methali 30:20

Marejeo

  • +Met 7:10, 11

Methali 30:22

Marejeo

  • +Met 19:10; Mhu 10:7; Isa 3:4

Methali 30:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ambaye hapendwi.”

Marejeo

  • +Mwa 16:5

Methali 30:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hekima kupindukia.”

Marejeo

  • +Ayu 35:11

Methali 30:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “si taifa lenye nguvu.”

Marejeo

  • +Met 6:6-8

Methali 30:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Pelele.”

  • *

    Tnn., “si taifa lenye nguvu.”

Marejeo

  • +Law 11:5
  • +Zb 104:18

Methali 30:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vikundi-vikundi.”

Marejeo

  • +Kut 10:14; Yoe 1:4
  • +Yoe 2:7

Methali 30:28

Marejeo

  • +Law 11:29, 30

Methali 30:30

Marejeo

  • +Hes 23:24; Isa 31:4

Methali 30:32

Marejeo

  • +Met 26:12
  • +Met 27:2

Methali 30:33

Marejeo

  • +Met 26:21

Jumla

Met. 30:2Ayu 42:3
Met. 30:4Yoh 3:13
Met. 30:4Isa 40:12
Met. 30:4Ayu 38:4
Met. 30:5Zb 12:6
Met. 30:5Mwa 15:1; 2Sa 22:31; Zb 84:11
Met. 30:6Kum 4:2; Ufu 22:18
Met. 30:8Met 12:22
Met. 30:8Mt 6:11; 1Ti 6:8
Met. 30:9Kum 6:10-12
Met. 30:10Da 6:24
Met. 30:11Law 20:9; Met 19:26; Mk 7:10, 11
Met. 30:12Zb 36:1, 2; Isa 65:5; 1Yo 1:8
Met. 30:13Zb 101:5; Met 6:16, 17
Met. 30:14Zb 14:4; Met 22:16; Isa 32:7
Met. 30:16Met 27:20
Met. 30:17Met 23:22
Met. 30:17Law 20:9; Kum 21:18, 21; Met 20:20
Met. 30:20Met 7:10, 11
Met. 30:22Met 19:10; Mhu 10:7; Isa 3:4
Met. 30:23Mwa 16:5
Met. 30:24Ayu 35:11
Met. 30:25Met 6:6-8
Met. 30:26Law 11:5
Met. 30:26Zb 104:18
Met. 30:27Kut 10:14; Yoe 1:4
Met. 30:27Yoe 2:7
Met. 30:28Law 11:29, 30
Met. 30:30Hes 23:24; Isa 31:4
Met. 30:32Met 26:12
Met. 30:32Met 27:2
Met. 30:33Met 26:21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 30:1-33

Methali

30 Ujumbe mzito wa Aguri mwana wa Yake, aliomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

 2 Mimi ni mjinga kuliko mtu yeyote yule,+

Nami sina uelewaji ambao mwanadamu anapaswa kuwa nao.

 3 Sijajifunza hekima,

Nami sina ujuzi kumhusu Aliye Mtakatifu Zaidi.

 4 Ni nani amepanda mbinguni kisha akashuka?+

Ni nani ameukusanya upepo katika viganja vyake viwili?

Ni nani ameyafunga maji katika vazi lake?+

Ni nani ameimarisha* miisho yote ya dunia?+

Jina lake ni nani nalo jina la mwana wake ni nani—ikiwa unajua?

 5 Kila neno la Mungu ni safi.+

Yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.+

 6 Usiongeze chochote katika maneno yake,+

La sivyo atakukaripia,

Nawe utathibitika kuwa mwongo.

 7 Ninakuomba mambo mawili.

Usininyime mambo hayo kabla sijafa.

 8 Yaondolee mbali nami mambo yasiyo ya kweli na ya uwongo.+

Usinipe umaskini wala utajiri.

Acha nile tu fungu langu la chakula,+

 9 Ili nisishibe na kukukana na kusema, “Yehova ni nani?”+

Wala usiruhusu niwe maskini, niibe na kuliaibisha* jina la Mungu wangu.

10 Usimchongee mtumishi kwa bwana wake,

La sivyo atakulaani, nawe utapatikana na hatia.+

11 Kuna kizazi kinachomtukana baba yao

Nacho hakimbariki mama yao.+

12 Kuna kizazi kinachojiona kuwa safi+

Lakini hakijasafishwa uchafu wake.*

13 Kuna kizazi chenye macho yaliyojaa kiburi

Na ambacho macho yake yanatazama kwa majivuno mengi!+

14 Kuna kizazi ambacho meno yake ni mapanga

Na ambacho mataya yake ni visu vya kuchinjia;

Wanawanyafua watu wa hali ya chini duniani

Na maskini kutoka miongoni mwa wanadamu.+

15 Ruba wana mabinti wawili wanaolia, “Nipe! Nipe!”

Kuna vitu vitatu visivyotosheka,

Vinne ambavyo havisemi kamwe, “Inatosha!”

16 —Kaburi*+ na tumbo lisiloweza kuzaa,

Nchi iliyonyimwa maji,

Na moto ambao kamwe hausemi, “Inatosha!”

17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+

—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,

Na tai wachanga watalila.+

18 Kuna mambo matatu yanayozidi ufahamu wangu,*

Na manne ambayo siyaelewi:

19 Njia ya tai angani,

Njia ya nyoka juu ya mwamba,

Njia ya meli baharini,

Na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.

20 Hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi:

Anakula, anajipangusa kinywa;

Kisha anasema, “Sijafanya kosa lolote.”+

21 Kuna mambo matatu yanayoitetemesha dunia

Na mambo manne ambayo haiwezi kuvumilia:

22 Mtumwa anapotawala akiwa mfalme,+

Mjinga anaposhiba kupita kiasi,

23 Mwanamke anayechukiwa* anapoolewa,

Na kijakazi anapochukua nafasi ya bimkubwa wake.+

24 Kuna vitu vinne duniani ambavyo ni miongoni mwa vitu vidogo zaidi,

Lakini vina hekima ya kisilika:*+

25 Chungu si viumbe wenye nguvu,*

Lakini wanatayarisha chakula chao wakati wa kiangazi.+

26 Wibari*+ si viumbe wenye nguvu,*

Lakini wanajenga nyumba zao kwenye majabali.+

27 Nzige+ hawana mfalme,

Lakini wote husonga mbele kwa mpangilio.*+

28 Mjusi+ hushika kwa miguu yake,

Naye huingia katika jumba la mfalme.

29 Kuna viumbe watatu wenye mwendo unaovutia,

Wanne wenye mwendo wa madaha:

30 Simba, mnyama mwenye nguvu zaidi kuliko wanyama wote,

Ambaye hamkimbii yeyote;+

31 Mbwa mwindaji; mbuzi dume;

Na mfalme aliye pamoja na jeshi lake.

32 Ikiwa umejikweza kwa ujinga+

Au ikiwa umepanga kufanya hivyo,

Funika kinywa chako kwa mkono wako.+

33 Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa kunavyotokeza siagi

Na kufinya pua kunavyofanya damu itoke,

Ndivyo kuchochea hasira kunavyotokeza ugomvi.+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki