Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 25
  • Mali ya Pekee

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mali ya Pekee
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Msifuni Yah kwa Mwana Wake Mtiwa Mafuta
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Huokoa
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 25

WIMBO NA. 25

Mali ya Pekee

(1 Petro 2:9)

  1. 1. Mungu ana taifa,

    la watiwa-mafuta.

    Aliowanunua,

    wawe mali yake.

    (KORASI)

    Mali ya pekee,

    Watu wa jina lake.

    Wanaompenda.

    Wanatangaza sifa zake.

  2. 2. Ni taifa teule,

    Wateteao kweli.

    Wametoka gizani,

    Amewapa nuru.

    (KORASI)

    Mali ya pekee,

    Watu wa jina lake.

    Wanaompenda.

    Wanatangaza sifa zake.

  3. 3. Na kondoo wengine,

    Wawakusanya pia.

    Wa’minifu kwa Kristo,

    na utume wao.

    (KORASI)

    Mali ya pekee,

    Watu wa jina lake.

    Wanaompenda.

    Wanatangaza sifa zake.

(Ona pia Isa. 43:20b, 21; Mal. 3:17; Kol. 1:13.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki