Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 148
  • Yehova Huokoa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Huokoa
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mali ya Pekee
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mpe Yehova Utukufu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 148

WIMBO NA. 148

Yehova Huokoa

(2 Samweli 22:1-8)

  1. 1. Yehova Mungu wetu uliye hai.

    Kazi zako kuu,

    mbingu na dunia.

    Ndiwe Mungu pekee, Mweza-yote

    ​—milele.

    Wakujue wewe.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  2. 2. Japo kuna kifo, nakutegemea,

    “Yehova unipe,

    ujasiri, nguvu.”

    Toka hekalu lako,

    usikie, ‘Nifiche,

    Niokoe, Mungu.’

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  3. 3. Utakaponguruma

    kutoka juu.

    Maadui wako,

    waingiwe hofu.

    Wakutumikiao, wafurahi.

    Wajue

    U Mwokozi wetu.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

(Ona pia Zab. 18:​1, 2; 144:​1, 2.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki