Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 110
  • “Shangwe ya Yehova”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Shangwe ya Yehova”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wimbo Mpya
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Ni Mfalme Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 110

WIMBO NA. 110

“Shangwe ya Yehova”

(Nehemia 8:10)

  1. 1. Twaziona ishara za Ufalme.

    Twajulisha watu wote.

    Inueni vichwa, wokovu waja.

    Ukombozi u karibu!

    (KORASI)

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Tuimbe, tushangilie.

    Tufurahie tumaini letu,

    Tumsifu Yehova Mungu.

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Jina lake litangazwe.

    Tufanye mapenzi ya Mungu wetu.

    Na tufurahie huduma.

  2. 2. Enyi nyote, tegemeeni Mungu.

    Msihofu, ana nguvu.

    Simameni, paazeni sauti;

    Na tumwimbie Yehova!

    (KORASI)

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Tuimbe, tushangilie.

    Tufurahie tumaini letu,

    Tumsifu Yehova Mungu.

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Jina lake litangazwe.

    Tufanye mapenzi ya Mungu wetu.

    Na tufurahie huduma.

(Ona pia 1 Nya. 16:27; Zab. 112:4; Luka 21:28; Yoh. 8:32.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki