Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 119
  • Lazima Tuwe na Imani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Lazima Tuwe na Imani
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kwa Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 119

WIMBO NA. 119

Lazima Tuwe na Imani

(Waebrania 10:38, 39)

  1. 1. Kale Yehova Mungu kasema,

    Kupitia manabii.

    Leo kupitia Mwana wake,

    Anasema: ‘Tubuni! ’

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

  2. 2. Amri ya Yesu Kristo twatii,

    Ufalme tunatangaza.

    Tuutangaze ujumbe wake

    Utakaotimizwa.

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

  3. 3. Tuna imani nayo ni ngao;

    Kamwe hatutaogopa.

    Tunavumilia tukijua,

    Wokovu u karibu.

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

(Ona pia Rom. 10:10; Efe. 3:12; Ebr. 11:6; 1 Yoh. 5:4.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki