Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 156
  • Kwa Imani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kwa Imani
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 156

WIMBO NA. 156

Kwa Imani

(Zaburi 27:13)

  1. 1. Kwa nini niogope?

    Nimwogope adui?

    Nikiwa na Yehova,

    Sitatetemeshwa.

    Mungu wangu yupo nami.

    (KORASI)

    Kwa imani, ninalo tumaini.

    Kwa imani, siogopi kamwe.

    Nikiwa na Yehova,

    Nitasonga mbele,

    Najua Mungu yuko nami—

    Kwa imani.

  2. 2. Watumishi wa kale

    Kwa ushikamanifu.

    Walivumilia.

    Watathawabishwa.

    Watafufuka hakika.

    (KORASI)

    Kwa imani, ninalo tumaini.

    Kwa imani, siogopi kamwe.

    Nikiwa na Yehova,

    Nitasonga mbele,

    Najua Mungu yuko nami—

    Kwa imani.

    (DARAJA)

    Kwa imani, nayaweza yote.

    Kwa imani, sina shaka.

    Na kwa imani

    Ninaweza kushinda

    Navumilia mateso.

  3. 3. Nasubiri kwa hamu

    Ahadi za Mungu.

    Niwe imara.

    Hivi karibuni

    Yehova atatuokoa.

    (KORASI)

    Kwa imani, ninalo tumaini.

    Kwa imani, siogopi kamwe.

    Nikiwa na Yehova,

    Nitasonga mbele,

    Najua Mungu yuko nami—

    Kwa imani,

    Kwa imani.

(Ona pia Ebr. 11:1-40.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki