Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Ayubu aendelea kujibu (1-25)

        • ‘Kwa nini Mungu haweki wakati wa hukumu?’ (1)

        • Asema kwamba Mungu ameruhusu uovu (12)

        • Watenda dhambi wanapenda giza (13-17)

Ayubu 24:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, siku yake ya hukumu.

Marejeo

  • +Hab 1:2

Ayubu 24:2

Marejeo

  • +Kum 19:14; 27:17; Met 23:10; Ho. 5:10

Ayubu 24:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rehani.”

Marejeo

  • +Kum 24:17

Ayubu 24:4

Marejeo

  • +Zb 109:16; Met 22:16; Isa 10:1, 2; Yak 5:4

Ayubu 24:5

Marejeo

  • +Isa 32:14; Yer 14:6

Ayubu 24:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kuvuna chakula cha mifugo shambani.”

Ayubu 24:7

Marejeo

  • +Kut 22:26, 27; Kum 24:13

Ayubu 24:9

Marejeo

  • +2Fa 4:1
  • +Kut 22:26, 27; Kum 24:13

Ayubu 24:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Hukamua mafuta katikati ya kuta za matuta.”

Marejeo

  • +Yer 22:13; Yak 5:4

Ayubu 24:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mungu hamhukumu yeyote kwa kutenda mabaya.”

Marejeo

  • +Mhu 4:1

Ayubu 24:13

Marejeo

  • +Yoh 3:19

Ayubu 24:14

Marejeo

  • +Zb 10:4, 8

Ayubu 24:15

Marejeo

  • +Met 7:8-10
  • +2Sa 12:9, 12; Zb 94:3, 7; Met 30:20

Ayubu 24:16

Marejeo

  • +Yoh 3:20

Ayubu 24:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Yeye ni mwepesi juu ya maji.”

Marejeo

  • +Kum 28:15, 16; Met 3:33

Ayubu 24:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 49:13, 14; 55:15; Lu 12:20

Ayubu 24:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Tumbo la uzazi litamsahau.”

Marejeo

  • +Met 10:7; Mhu 8:10; 9:5

Ayubu 24:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njia zao.”

Marejeo

  • +Mhu 8:11; Isa 56:12; Lu 12:19
  • +Zb 11:4; Met 5:21; 15:3

Ayubu 24:24

Marejeo

  • +Zb 37:10; 92:7; Yak 1:11
  • +Mhu 8:12, 13

Jumla

Ayu. 24:1Hab 1:2
Ayu. 24:2Kum 19:14; 27:17; Met 23:10; Ho. 5:10
Ayu. 24:3Kum 24:17
Ayu. 24:4Zb 109:16; Met 22:16; Isa 10:1, 2; Yak 5:4
Ayu. 24:5Isa 32:14; Yer 14:6
Ayu. 24:7Kut 22:26, 27; Kum 24:13
Ayu. 24:92Fa 4:1
Ayu. 24:9Kut 22:26, 27; Kum 24:13
Ayu. 24:11Yer 22:13; Yak 5:4
Ayu. 24:12Mhu 4:1
Ayu. 24:13Yoh 3:19
Ayu. 24:14Zb 10:4, 8
Ayu. 24:15Met 7:8-10
Ayu. 24:152Sa 12:9, 12; Zb 94:3, 7; Met 30:20
Ayu. 24:16Yoh 3:20
Ayu. 24:18Kum 28:15, 16; Met 3:33
Ayu. 24:19Zb 49:13, 14; 55:15; Lu 12:20
Ayu. 24:20Met 10:7; Mhu 8:10; 9:5
Ayu. 24:23Mhu 8:11; Isa 56:12; Lu 12:19
Ayu. 24:23Zb 11:4; Met 5:21; 15:3
Ayu. 24:24Zb 37:10; 92:7; Yak 1:11
Ayu. 24:24Mhu 8:12, 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 24:1-25

Ayubu

24 “Kwa nini Mweza-Yote haweki wakati wa hukumu?+

Kwa nini wale wanaomjua hawaioni siku yake?*

 2 Watu husogeza alama za mipaka;+

Wanaiba mifugo kwa ajili ya malisho yao.

 3 Huwachukua punda wa mayatima

Na kumchukua ng’ombe dume wa mjane kuwa dhamana ya mkopo.*+

 4 Huwasukuma maskini waondoke barabarani;

Watu wasio na uwezo duniani hulazimika kujificha kwa sababu yao.+

 5 Maskini hutafuta chakula kama punda mwitu+ nyikani;

Huwatafutia watoto wao chakula jangwani.

 6 Wanalazimika kuvuna shamba la mtu mwingine*

Na kuokota masalio katika shamba la mizabibu la mwovu.

 7 Wanalala uchi usiku, bila nguo;+

Hawana cha kujifunika ili wasipigwe na baridi.

 8 Wanaloweshwa na mvua za milimani;

Wanashikilia miamba kwa nguvu kwa sababu hawana mahali pa kujificha.

 9 Mtoto asiye na baba hunyakuliwa kutoka kwenye matiti ya mama yake;+

Na mavazi ya maskini huchukuliwa kuwa dhamana ya mkopo,+

10 Na kuwalazimisha kutembea uchi, bila nguo,

Wakiwa na njaa, huku wakibeba masuke ya nafaka.

11 Hufanya kazi ngumu kwenye matuta yaliyo milimani katika joto la mchana;*

Hukanyaga mashinikizo ya divai, lakini wanaona kiu.+

12 Wanaokufa wanaendelea kulia kwa uchungu jijini;

Waliojeruhiwa vibaya sana hulilia msaada,+

Lakini Mungu haoni jambo hilo kuwa baya.*

13 Kuna wale wanaoasi nuru;+

Hawatambui njia zake,

Nao hawafuati vijia vyake.

14 Muuaji huamka wakati wa mapambazuko;

Huwaua wasio na uwezo na maskini,+

Naye huiba wakati wa usiku.

15 Macho ya mzinzi husubiri giza linapoingia,+

Akisema, ‘Hakuna atakayeniona!’+

Naye huufunika uso wake.

16 Wakati wa giza wanavunja nyumba;

Wakati wa mchana wanajifungia ndani.

Wanaepuka nuru.+

17 Kwa maana kwao, asubuhi ni kama giza zito;

Wamezoea vitisho vya giza zito.

18 Lakini wanabebwa upesi na maji.*

Fungu lao la ardhi litalaaniwa.+

Hawatarudi kwenye mashamba yao ya mizabibu.

19 Kama theluji iliyoyeyuka inavyokaushwa na ukame na joto,

Ndivyo Kaburi* linavyowachukua waliotenda dhambi!+

20 Mama yake atamsahau;* naye ataliwa na mabuu.

Hatakumbukwa tena.+

Na uovu utakatwa kama mti.

21 Humwinda mwanamke tasa,

Na kumtesa mjane.

22 Mungu atatumia nguvu zake kuwaangamiza wenye nguvu;

Hata wakiinuka, hawana uhakika wa kuishi.

23 Mungu anawaacha wawe na uhakika na wajihisi salama,+

Lakini macho yake yanatazama kila jambo wanalotenda.*+

24 Wanakwezwa kwa muda mfupi, kisha wanatoweka.+

Wanashushwa chini+ na kukusanywa kama watu wengine wote;

Wanakatwa kama masuke ya nafaka.

25 Sasa ni nani anayeweza kuthibitisha kwamba mimi ni mwongo

Au kupinga neno langu?”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki