Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumtumaini Mungu licha ya hatari

        • ‘Kwa nini maadui wamekuwa wengi sana?’ (1)

        • “Wokovu ni wa Yehova” (8)

Zaburi 3:utangulizi

Marejeo

  • +2Sa 15:14

Zaburi 3:1

Marejeo

  • +2Sa 15:12; 16:15
  • +2Sa 12:11

Zaburi 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuihusu nafsi yangu.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Sa 16:7, 8

Zaburi 3:3

Marejeo

  • +Mwa 15:1
  • +Isa 45:25
  • +Zb 27:6

Zaburi 3:4

Marejeo

  • +2Sa 15:25; Zb 2:6

Zaburi 3:5

Marejeo

  • +Zb 4:8; Met 3:24

Zaburi 3:6

Marejeo

  • +2Fa 6:15, 16; Zb 27:3; Ro 8:31

Zaburi 3:7

Marejeo

  • +1Ti 4:10
  • +2Th 1:6

Zaburi 3:8

Marejeo

  • +Zb 37:39; Isa 43:11; Ufu 19:1

Jumla

Zab. 3:utangulizi2Sa 15:14
Zab. 3:12Sa 15:12; 16:15
Zab. 3:12Sa 12:11
Zab. 3:22Sa 16:7, 8
Zab. 3:3Mwa 15:1
Zab. 3:3Isa 45:25
Zab. 3:3Zb 27:6
Zab. 3:42Sa 15:25; Zb 2:6
Zab. 3:5Zb 4:8; Met 3:24
Zab. 3:62Fa 6:15, 16; Zb 27:3; Ro 8:31
Zab. 3:71Ti 4:10
Zab. 3:72Th 1:6
Zab. 3:8Zb 37:39; Isa 43:11; Ufu 19:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 3:1-8

Zaburi

Muziki wa Daudi alipokuwa akimkimbia Absalomu mwanawe.+

3 Ee Yehova, kwa nini maadui wangu wamekuwa wengi sana?+

Kwa nini watu wengi sana wanainuka dhidi yangu?+

 2 Wengi wanasema hivi kunihusu:*

“Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)*

 3 Lakini wewe, Ee Yehova, ni ngao kunizunguka,+

Utukufu wangu+ na Yule anayekiinua kichwa changu.+

 4 Nitamlilia Yehova kwa sauti kubwa,

Naye atanijibu kutoka kwenye mlima wake mtakatifu.+ (Sela)

 5 Nitajilaza chini na kulala usingizi;

Nami nitaamka nikiwa salama,

Kwa maana Yehova anaendelea kunitegemeza.+

 6 Siogopi makumi ya maelfu

Waliojipanga dhidi yangu kila upande.+

 7 Inuka, Ee Yehova! Niokoe,+ Ee Mungu wangu!

Kwa maana utawapiga maadui wangu wote kwenye utaya;

Utayavunja meno ya waovu.+

 8 Wokovu ni wa Yehova.+

Baraka yako iko juu ya watu wako. (Sela)

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki