25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema.
17 Wataramba mavumbi kama nyoka;+ kama watambaaji wa dunia watatoka katika maboma+ yao wakitetemeka. Watamjia Yehova Mungu wetu wakitetemeka, nao watakuogopa.”+