3 kwa kuwa lazima nikuapishe kwa Yehova,+ Mungu wa mbingu na Mungu wa dunia, kwamba hutamchukulia mwanangu mke kutoka kwa binti za Wakanaani ambao ninakaa kati yao,+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Nimekuja kuyachukia sana haya maisha yangu kwa sababu ya binti za Hethi.+ Yakobo akichukua mke kutoka kwa binti za Hethi kama hawa kutoka kwa binti za hii nchi, basi maisha yana faida gani kwangu?”+