Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni. Mwanzo 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33.
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.
15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33.