Mwanzo 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwishowe Yehova akamwambia Yakobo: “Rudi kwenye nchi ya baba zako na kwa watu wa jamaa yako,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”+ Mwanzo 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+ Zaburi 45:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sikiliza, ewe binti, uone, na utege sikio lako;Na uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.+
3 Mwishowe Yehova akamwambia Yakobo: “Rudi kwenye nchi ya baba zako na kwa watu wa jamaa yako,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”+
9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+