Mwanzo 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+ Ayubu 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ng’ombe-dume wake kwa kweli hutia mimba, wala hapotezi shahawa;Ng’ombe wake huzaa+ wala hatokwi na mimba.
27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+
10 Ng’ombe-dume wake kwa kweli hutia mimba, wala hapotezi shahawa;Ng’ombe wake huzaa+ wala hatokwi na mimba.