5 Basi, mti wa shambani haukuwapo duniani wala mimea ya shambani ilikuwa haijachipuka bado, kwa kuwa Yehova Mungu hakuwa amenyesha mvua+ juu ya dunia wala hapakuwa na mtu wa kuilima nchi.
19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+