Mwanzo 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndiyo sababu wana wa Israeli hawana desturi ya kula kano ya mshipa wa paja, ulio kwenye tundu la fundo la paja, mpaka leo hii, kwa sababu aligusa tundu la fundo la paja la Yakobo karibu na kano ya mshipa wa paja.+ 2 Wakorintho 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa sababu tu ya wingi wa huo ufunuo. Kwa hiyo, ili nisijione kuwa nimeinuliwa mno,+ nilipewa mwiba katika mwili,+ malaika wa Shetani, aendelee kunipiga kofi, ili nisijiinue kupita kiasi.
32 Ndiyo sababu wana wa Israeli hawana desturi ya kula kano ya mshipa wa paja, ulio kwenye tundu la fundo la paja, mpaka leo hii, kwa sababu aligusa tundu la fundo la paja la Yakobo karibu na kano ya mshipa wa paja.+
7 kwa sababu tu ya wingi wa huo ufunuo. Kwa hiyo, ili nisijione kuwa nimeinuliwa mno,+ nilipewa mwiba katika mwili,+ malaika wa Shetani, aendelee kunipiga kofi, ili nisijiinue kupita kiasi.