Mwanzo 32:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha akawapa watumishi wake kundi moja moja, kundi moja baada ya lingine na kwa kurudia-rudia akawaambia watumishi wake: “Vukeni mbele yangu, nanyi mnapaswa kuweka nafasi kati ya kundi na kundi.”+
16 Kisha akawapa watumishi wake kundi moja moja, kundi moja baada ya lingine na kwa kurudia-rudia akawaambia watumishi wake: “Vukeni mbele yangu, nanyi mnapaswa kuweka nafasi kati ya kundi na kundi.”+