14 Basi akamwambia: “Tafadhali, nenda. Kaone kama ndugu zako wako salama salimini na kama kundi liko salama salimini, halafu uniletee habari.”+ Basi akamtuma toka nchi tambarare ya chini ya Hebroni,+ naye akaenda kuelekea Shekemu.
24Na ndipo Yoshua akakusanya pamoja makabila yote ya Israeli katika Shekemu,+ akawaita wanaume wazee wote wa Israeli+ na vichwa vyao na waamuzi wao na maofisa wao, nao wakasimama mbele za Mungu wa kweli.+