Mwanzo 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha Mungu akamwambia Yakobo: “Ondoka, uende Betheli, ukakae huko,+ nawe umjengee madhabahu Mungu wa kweli, aliyekutokea ulipokuwa ukimkimbia Esau ndugu yako.”+ Mwanzo 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akajenga madhabahu huko. Akaanza kupaita mahali hapo El-betheli, kwa sababu Mungu wa kweli alikuwa amejifunua kwake mahali hapo alipokuwa akimkimbia ndugu yake.+
35 Kisha Mungu akamwambia Yakobo: “Ondoka, uende Betheli, ukakae huko,+ nawe umjengee madhabahu Mungu wa kweli, aliyekutokea ulipokuwa ukimkimbia Esau ndugu yako.”+
7 Kisha akajenga madhabahu huko. Akaanza kupaita mahali hapo El-betheli, kwa sababu Mungu wa kweli alikuwa amejifunua kwake mahali hapo alipokuwa akimkimbia ndugu yake.+