Amosi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambao mnakunywa kwa mabakuli ya divai,+ na ambao mnatia mafuta kwa kutumia mafuta yenu yaliyo bora kabisa,+ na ambao hamkuwa wagonjwa kutokana na msiba wa Yosefu.+
6 ambao mnakunywa kwa mabakuli ya divai,+ na ambao mnatia mafuta kwa kutumia mafuta yenu yaliyo bora kabisa,+ na ambao hamkuwa wagonjwa kutokana na msiba wa Yosefu.+