12 Na kijana mmoja alikuwa humo pamoja nasi, Mwebrania,+ mtumishi wa mkuu wa walinzi.+ Tulipomsimulia,+ akatutafsiria ndoto zetu. Akamtafsiria kila mmoja kama ilivyokuwa ndoto yake.
30 Lakini mimi sikufunuliwa siri hii kwa sababu nina hekima ndani yangu kuliko watu wengine walio hai,+ bali kusudi mfalme mwenyewe aambiwe tafsiri, upate kujua mawazo ya moyo wako.+