Mwanzo 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Mungu Mweza-Yote na awape huruma mbele ya mtu huyo,+ ili amwachilie yule ndugu yenu mwingine na Benyamini. Lakini ikiwa nitafiwa, kwa kweli nitafiwa!”+
14 Na Mungu Mweza-Yote na awape huruma mbele ya mtu huyo,+ ili amwachilie yule ndugu yenu mwingine na Benyamini. Lakini ikiwa nitafiwa, kwa kweli nitafiwa!”+