Mwanzo 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hivyo ndivyo mtakavyojaribiwa. Kama Farao anavyoishi, hamtatoka hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja hapa.+ Mwanzo 44:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini tukamwambia, ‘Hatuwezi kwenda. Ikiwa ndugu yetu mdogo yuko pamoja nasi tutaenda, kwa sababu hatuwezi kuuona uso wa mtu huyo ikiwa ndugu yetu mdogo hayuko pamoja nasi.’+
15 Hivyo ndivyo mtakavyojaribiwa. Kama Farao anavyoishi, hamtatoka hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja hapa.+
26 Lakini tukamwambia, ‘Hatuwezi kwenda. Ikiwa ndugu yetu mdogo yuko pamoja nasi tutaenda, kwa sababu hatuwezi kuuona uso wa mtu huyo ikiwa ndugu yetu mdogo hayuko pamoja nasi.’+