10 Na baba yake akaendelea kushuka mpaka kwa yule mwanamke, naye Samsoni akafanya karamu huko;+ kwa maana hivyo ndivyo vijana walivyokuwa na desturi ya kufanya.
4 Na wanawe walienda na kufanya karamu+ katika nyumba ya kila mmoja kwenye siku yake mwenyewe; nao wakatuma na kuwakaribisha dada zao watatu ili wale chakula na kunywa pamoja nao.