Kutoka 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikiwa jua limeangaza juu yake, basi kuna hatia ya damu kwa ajili yake.) “Lazima alipe. Ikiwa hana chochote, basi atauzwa kwa ajili ya vitu alivyoiba.+ Mathayo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini kwa sababu hakuwa na uwezo wa kulipa, bwana wake akaagiza yeye na mke wake na watoto wake na vitu vyote alivyokuwa navyo wauzwe na malipo yatolewe.+
3 Ikiwa jua limeangaza juu yake, basi kuna hatia ya damu kwa ajili yake.) “Lazima alipe. Ikiwa hana chochote, basi atauzwa kwa ajili ya vitu alivyoiba.+
25 Lakini kwa sababu hakuwa na uwezo wa kulipa, bwana wake akaagiza yeye na mke wake na watoto wake na vitu vyote alivyokuwa navyo wauzwe na malipo yatolewe.+