8 Mwishowe Yuda akamwambia Israeli baba yake: “Mruhusu huyu mvulana aende nami,+ ili tupate kuondoka twende na ili tuendelee kuishi ili tusife,+ sisi na wewe na watoto wetu wadogo.+
32 Kwa maana mtumwa wako alijitoa kuwa dhamana+ ya mvulana huyu awapo mbali na baba yake, akisema, ‘Nisipomrudisha kwako, basi nitakuwa nimemtendea baba yangu dhambi milele.’+