Mwanzo 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hivyo ndivyo mtakavyojaribiwa. Kama Farao anavyoishi, hamtatoka hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja hapa.+ Mwanzo 43:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Alipoinua macho yake na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ni ndugu yenu, yule mdogo zaidi mliyeniambia juu yake?”+ Naye akaongeza kusema: “Mungu na akuonyeshe kibali chake,+ mwanangu.”
15 Hivyo ndivyo mtakavyojaribiwa. Kama Farao anavyoishi, hamtatoka hapa mpaka ndugu yenu mdogo atakapokuja hapa.+
29 Alipoinua macho yake na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ni ndugu yenu, yule mdogo zaidi mliyeniambia juu yake?”+ Naye akaongeza kusema: “Mungu na akuonyeshe kibali chake,+ mwanangu.”