Mwanzo 42:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+ Mwanzo 44:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baadaye mmoja aliniacha nami nikasema: “Ah, haikosi ameraruliwa vipande-vipande!”+ nami sijamwona mpaka leo hii. Luka 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, maneno hayo yalionekana kama upuuzi kwao nao wakawa hawawaamini+ wanawake hao.
38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+
28 Baadaye mmoja aliniacha nami nikasema: “Ah, haikosi ameraruliwa vipande-vipande!”+ nami sijamwona mpaka leo hii.