18 naye akaanza kupeleka mifugo yake yote na mali zote ambazo alikuwa amekusanya,+ mifugo ya mapato yake ambayo alikuwa amekusanya Padan-aramu, ili aende kwa Isaka baba yake katika nchi ya Kanaani.+
3 Kisha Farao akawauliza ndugu zake: “Mnafanya kazi gani?”+ Basi wakamwambia Farao: “Watumishi wako ni wachungaji wa kondoo,+ sisi na mababu zetu pia.”+