Hagai 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, bado kuna mbegu katika shimo la nafaka?+ Na kufikia sasa, mzabibu na mtini na mkomamanga na mzeituni—je, umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa baraka.’ ”+ Yakobo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndugu zangu, je, mtini unaweza kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?+ Wala maji ya chumvi hayawezi kutokeza maji matamu.
19 Je, bado kuna mbegu katika shimo la nafaka?+ Na kufikia sasa, mzabibu na mtini na mkomamanga na mzeituni—je, umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa baraka.’ ”+
12 Ndugu zangu, je, mtini unaweza kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?+ Wala maji ya chumvi hayawezi kutokeza maji matamu.