14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+
12 Nawe, umesema, ‘Bila shaka nitakutendea vema nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mchanga wa baharini, usioweza kuhesabika kwa sababu ya wingi wake.’”+