Mwanzo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alipoinua macho yake,+ kisha akatazama, kumbe pale, wamesimama wanaume watatu umbali fulani kutoka kwake. Alipowaona akaanza kukimbia awapokee kutoka mwingilio wa hema naye akainama kifudifudi.+ Mwanzo 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye mwenyewe akapita mbele yao akaanza kuinama mpaka chini mara saba mpaka alipomkaribia ndugu yake.+
2 Alipoinua macho yake,+ kisha akatazama, kumbe pale, wamesimama wanaume watatu umbali fulani kutoka kwake. Alipowaona akaanza kukimbia awapokee kutoka mwingilio wa hema naye akainama kifudifudi.+
3 Naye mwenyewe akapita mbele yao akaanza kuinama mpaka chini mara saba mpaka alipomkaribia ndugu yake.+