17Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+
40 Kisha akaniambia, ‘Yehova, ambaye mbele zake nimetembea,+ atatuma malaika+ wake pamoja nawe na kwa hakika atafanikisha njia yako;+ nawe umchukulie mwanangu mke kutoka kwa familia yangu na kutoka kwa nyumba ya baba yangu.+