Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.” Isaya 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Huyu atasema: “Mimi ni wa Yehova.”+ Yule naye atajiita kwa jina la Yakobo,+ na mwingine ataandika juu ya mkono wake: “Mali ya Yehova.” Na mwingine atajiita kwa jina la Israeli.’+
28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”
5 Huyu atasema: “Mimi ni wa Yehova.”+ Yule naye atajiita kwa jina la Yakobo,+ na mwingine ataandika juu ya mkono wake: “Mali ya Yehova.” Na mwingine atajiita kwa jina la Israeli.’+